Hanstone atatoboa nje ya WCB?

Angeweka uvumilivu wasanii wengi wanataman wawepo wcb kule wanajua fitina
Unavumiliaje miaka 100 sasa hadi tushamsahau hizo siyo fitna ni uchawi...unachukua kipaji unakificha ndani unasikika wewe tu ni upuuzi
 
Angeweka uvumilivu wasanii wengi wanataman wawepo wcb kule wanajua fitina
Ameona amekaa miaka mingi bado hawamtoi tu kimya ni sawa na zuchu alikaa miaka 6 ndipo akatoka na sasa hivi inasemekana zuchu ana miaka 32 kumbe nimesikia wanasema kumbe kamdada kakubwa tu
 
Mtoto wa Banza Stone.

Kaandika nyimbo kama
Iokote - Maua Sama
Nimekuzoea - Nandy
Sukari - Zuchu
Nk
Umekosea kwa nandy nimekuzoea kaandika mwenyewe nandy acha uwongo wewe alihojiwa na akasema tena walikuwa na producer wake
 
Hao wasanii wote wanalia Lia tu Hakuna Kitu ..
 
Kwa sabab muziki ni wa wcb sasa hivi, ukiwa nje ya hapo utoboi msidanganyane
Umeongea pumba wewe tena sijui wa wapi wewe???!!hivi unajua kuna wanamziki bongo matajiri mbaka kuwazidi hao wcb mfano navykenzo, nandy hata alikiba ingawa sipo kwenye hizo timu zenu nenda kawafatilie navykenzo uone maisha yao wewe kilaza
 
Unavumiliaje miaka 100 sasa hadi tushamsahau hizo siyo fitna ni uchawi...unachukua kipaji unakificha ndani unasikika wewe tu ni upuuzi
Hakuna kipaji kinachofichwa, Harmonize alikaa zaidi ya 4yrs ndiyo akawa signed officially na halikadhalika Zuchu alikaa about the same 4yrs lakini products zilitoka zikiwa zimeiva.
Nadhani mtu ambaye hakukaa muda mrefu ni Mbosso tu probably ni exposure aliyokuwa nayo Yamoto band pamoja na ushawishi wa Mkubwa Fella.
 
Umeongea pumba wewe tena sijui wa wapi wewe???!!hivi unajua kuna wanamziki bongo matajiri mbaka kuwazidi hao wcb mfano navykenzo, nandy hata alikiba ingawa sipo kwenye hizo timu zenu nenda kawafatilie navykenzo uone maisha yao wewe kilaza
Nandi na Ali Kiba wana pesa ya kula tu, acha uongo.
 
Promise nyimbo kubwa sana asee haijapata airtime tu.
 

miaka 4 unasubiri nini kumsaimisha mtu!!!!

kufubaza morali za watu tu.
 
Angeimba tu kama baba yake. Hii style anayotumia ya kubana pua imechosha.
 
Hiyo ndiyo hasa shida ya sisi wakulungwa wa hapa bongo. Mtu akikaa kimya mnamzodoa kuwa anavuta bangi na unga mitaani, hoo mara anakibuli na mambo kibao tu. Akitoa kazi mnaanza kutaka aitolee chini ya WCB. Asitoboe kwa misingi ipi, mkuu kila mtu ana rizik yake kama kampangia kutoboa kwa kufanya mishe zake atatoboa tu. Kwani huyo Diamond alivyotoboa aliikuta wcb. Achani kuona kuwa bila wcb ndiyo msanii hatovuma
 
Ataweza. Akaze tu asikate tamaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…