Haniridhishi jamani

Aisee kwa namna ninavyowapelekeaga moto nikiona hivi huwa nasikitika sana
 
kama anakunywa mwambie anywe sminorf moja na redbul utauona mziki wake atachukua kama 30min hivi
Mkuu, huu ubuyu siuachi upite hivihivi, ni ile sminorf ya spirit au ile ya chupa kama bia?
 
hahaha! tushauri wote mkuu, ni wengi watapona kwa kupitia ushauri wako.
 

hakika uneniacha hoii
 
kusex ni mara ya kwanza lakini huwa tunakutana na kushikana na wakati romance haifiki hata dakika 2 tayari anakua ameshajikojelea kwenye suruali mi hii sijawai kuona aiseee!!!!
hujawahi kuona wapi mkuu?
 
Mkuu sminolf ni whisky au wine na bei yake imesimamaje manake mm nakunywaga grants whisky.
 
Vipi mrejeshoo... miaka sasa imepitaaa!?? Jamaa aliwezaa kaziii alipokuoaa au ndo ulimtosaaa...?? Jamani muwe mnavumiliaa tuu kama ambavyo.unaweza vumilia mumeo au mpenzi waki asipokuwa na hela ipo siku atapataa... Sex sio chakulaa wew tulia ili mradi anakupenda
 
kusex ni mara ya kwanza lakini huwa tunakutana na kushikana na wakati romance haifiki hata dakika 2 tayari anakua ameshajikojelea kwenye suruali mi hii sijawai kuona aiseee!!!!
Habar za mda huuu kwanza nikupe ongera kwanza kumpata mtu ambae kwanza si mzoefu ambae unakwenda kumpa uzoefu ww kijana huyo hana tatizo lolote na nimwanaume kamili ila kosa lilitokea ni kwenu wote wawili timing kumbuka ushilikiano ndio jambo la msingi katika mapenz sasa unaweza mwachia pampuchi yako nawe ukakaa kama unasoma gazeti kiukweli hapo hutolizishwa na mtu wa aina yoyote ila kama unajua kumtim unakaa style mzuri,unakiweka kiuno kua laini kwa kukizungusha nazan kila mmoja atainjoi kile mnacho fanya mtambue mwenzi wako kisha mpe nafas kadhaaa utainjoi tuuu iyo zana ulio jijengea iondoe kabisa nashukuru kwa mada yako nzuri
 
Anna pita uko nae kwa mda gani? pole sana
 
we ushasema unatafuta mwanamke mwenzio mkasagae ktk post yako ingine, sasa huyo ndo anakufaa
 
Sio wewe uliyekuwa unatafuta wanawake wenzio mkasagane baada ta kuona wanaume waongo? Hii tena imekaaje?
 
Wewe mwanamke una vimbwanga sana!!! Utaishia kuwa "single mother" tu.
 
Njoo nikupe dude... Utafurah nafsi yako
 
Munasema sana wanaume WA dar kumbe makando kando mkoani
yan Huyo hata sekunde 30 kwake nyingi chakufanya mvumbe macho asiwe anakiona kitumbua maana akikiona ndio kinazidi kumchanga
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…