Kwa sababu mmeachana kwa sababu zisizo na kichwa wala mkia, mtarudiana tu. Lakini mshikishe adabu. Usipopata uhuru wako kipindi hichi hutakaa uupate tena.
Kwanza badilisha password za accounts zako zote. Kama anakuamini upya then hahitaji kukufanyia monitoring tena. Pili mkubaliane mambo ya msingi. Kama yeye ana marafiki na anaweza kuwasiliana nao basi nawe sawia.
Haya yote mpeane muda wa kupumua kwanza. Hebu kaa kwa dada yako uone utakavyofurahia stress free life. Usimtegemee kurudi kukutafuta, na wewe usitafute mambo yake ili usiumie. Hilo gereza la ndoa, either utoke ama ujitengenezee utaratibu wa kumudu mazingira. Muonyeshe upo uwezekano wa wewe kumuacha na kuendelea na maisha
Kingas'ti hayo ya nyekundu sikubaliani nayo, labda kama tunaongea theory na sio practical.
Kwa walio kwenye ndio watasema watakubaliana nami hivyo vitu kama tabia ipo ipo tu haiwezekani itatoka eti kwa makubaliamo.Thubutu!
Kwanza badilisha password za accounts zako zote. Kama anakuamini upya then hahitaji kukufanyia monitoring tena. Pili mkubaliane mambo ya msingi. Kama yeye ana marafiki na anaweza kuwasiliana nao basi nawe sawia.
Haya yote mpeane muda wa kupumua kwanza. Hebu kaa kwa dada yako uone utakavyofurahia stress free life. Usimtegemee kurudi kukutafuta, na wewe usitafute mambo yake ili usiumie. Hilo gereza la ndoa, either utoke ama ujitengenezee utaratibu wa kumudu mazingira. Muonyeshe upo uwezekano wa wewe kumuacha na kuendelea na maisha
Kingas'ti hayo ya nyekundu sikubaliani nayo, labda kama tunaongea theory na sio practical.
Kwa walio kwenye ndio watasema watakubaliana nami hivyo vitu kama tabia ipo ipo tu haiwezekani itatoka eti kwa makubaliamo.Thubutu!