Handaki kubwa lagunduliwa kitanzini Iringa

Kitanzini pana historia mbaya, Palipokuwa na ule mti Wajerumani walioutumia kuwanyonga wapinzania wao. Viwanja hapo havina maendeleo na hapapendwe, pamelaniwa vile.

Ujenzi wa handaki unaonekana ni wa karibuni, cement inaonyesha. Inakuwaje handaki kwenda chini badala ya mshazari??. Nakubali ni la Majambazi kuficha vitu.

Ikidhibitika ni la kihistoria, tutakuja kufanya utalii hapo wakati tunaelekea kuona Fuvu na Kasri la Chifu kule Kalenga.

Wataarifu Wana Historia ofisi ya Isimila Stone Age Site
 
kama hilo handaki halina hadithi au historia halita mvutia mtalii wa ndani wala nje!litakuwa termed as death trap na kufukiwa mara moja!
 
Mpaka sa hv hamjaingia tu humo kwenye hilo handaki jmn?ili mtupe feedback
 
kitanzini kihistoria inasemekana ni sehemu iliyokuwa inatumika kunyongea watu inawezekana ni moja wapo ya nyenzo hizo
 
Back
Top Bottom