UWEZO_WAKO
Member
- Nov 17, 2010
- 39
- 4
Utafiti wa awali unaonyesha ugomvi wa kugombea urais ndani ya ccm umepungua na utazidi kupungua hasa wanachama na viongozi wengi wanapozidi kuhamia cdm. mmoja wa wa makada wa ccm waliohojiwa alinukuliwa na utafiti huu wa kujitegemea akisema...sasa wewe unaniuliza nini wewe huna macho ya kuona..sasa utatamani kugombea urais wakati wapiga kura wanahamia upinzani. Lakini pia kuna mkakati wa kuifaulisha ccm katika chama kingine ambacho kwa kifupi kinaitwa CHM...Hata hivyo utabiri wa utafiti huu umeonyesha chama hicho itakichukua miaka mingi kupata ukubali wa wanachi hasa wakati ambapo CDM watakapoanza kuvurunda.