Hamna kitu kirahisi, Mimba sio mchezo

Hamna kitu kirahisi, Mimba sio mchezo

Ukishajifungua utasahau hayo ya mpito. Utakua na kizai zai cha kulea. Msemo wa kuzaa si kazi, kazi kulea utauamini.
 
Mimba ya kwanza hiyo ndio maana. Zingine itakuwa kawaida tu. Halafu wanawake wa siku hizi tunawadekeza mno.😀
Mimba haijawahi kuwa kawaida
Namshangaa pia mwanaume anapotoa experience ya ujauzito
 
Pisi kali,
Kuna pre labour wengine hawapati kabisa.

Mwingine akigeuka unaumia miguu inaisha nguvu kabisa mgongo kiuno vyote vinauma
 
Pisi kali ,unaendeleaje?
April hiyoo imeshapita--vimetulia?

Niko salama kabisa siumwi chochote naenjoy tu, shida kwenye kulala hizo style mbili ndio nachoka
Vimetulia kabisa ila sasa nakulaaaaa hatari kila muda nasikia njaa hadi nashindwa kwenda vijumbani kwa watu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom