asante mwaya
me nashukuru sasa hivi mchana halali usiku kinalala na akilia sana ujue nimikojo aunjaa
umeona eh mtoto anauma mtu ajeampige tu bure bure wakatniliteseka sikuya kumleta dunian lazima uumie
hata hivo haishauriw unapokua na hali hio kujinyewa midawa tu bila ushaur wa daktar usiache kuhudhuria clinic

️ msalimie kabby girl hapoThanksNi humu tu kwavile hamna anaenijua ila watu wanaonizunguka wanajua wachache sana hawafiki wanne
Okay, hata huku ukiweza acha.
Unless ni issue ya kuomba ushauri kwa tatizo fulani, usiache kuhudhuria clinic kwa wakati.

Huku si nimepost kujua changamoto nayopitia maana hali ni tofauti na nilivyokua mwanzo Kwahiyo kusikia experience tofauti naona sio vibaya ila sijapost kwa ubaya
Sawa nitahudhuria![]()
Mimi pia naunga mkono hoja ya shemeji yangu Don, binadamu tunatofautiana sana roho zetu hata kama hatufahamiani. Nashauri kama una shida yoyote kiafya mwone dakitariHuku si nimepost kujua changamoto nayopitia maana hali ni tofauti na nilivyokua mwanzo Kwahiyo kusikia experience tofauti naona sio vibaya ila sijapost kwa ubaya
Sawa nitahudhuria![]()
Mimi pia naunga mkono hoja ya shemeji yangu Don, binadamu tunatofautiana sana roho zetu hata kama hatufahamiani. Nashauri kama una shida yoyote kiafya mwone dakitari
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi pia naunga mkono hoja ya shemeji yangu Don, binadamu tunatofautiana sana roho zetu hata kama hatufahamiani. Nashauri kama una shida yoyote kiafya mwone dakitari
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu wewe, beki Tatu anajikaza, sasa atamletea nani mizengwehakuna cha mimba za siku hizi ni kujiendekeza, hayo mbona hatuyaonagi kwa mabeki tatu wakipata mimba?
Hongera mamakijacho,pamoja na yote hayo ila na kudeka pia kunachangia na unajua furani yupo atatimiza unachokihitaji,mbona wadada wa kazi hawana hizo mambo zenu
Sent using Jamii Forums mobile app