Hamna kitu kinachoboa katika mapenzi kama hiki

Hamna kitu kinachoboa katika mapenzi kama hiki

Na hakuna kitu kinaboa kama mwanaume mlalamishi.........si usubiri.......je kama unataka kufanyiwa surprise..........
Preta,ujue Mungu anakuona,uliniambia kutoka Coyote(Coyoriiiii) ninyooke juu mpaka msikitini nyumba ya pili baada ya ghorofa,nikaja nikagonga,nikaulizia Preta holaaaaa,nikajieleza mpaka nikawaonesha picha yako wapiiiiii,akaja Muarumeru mmoja anauza mirungi akaniambia hii ni Arusha,usijaribu tena kuwaamini videnish vya Arusha,nasema hivi;si bora ungeniambia ni utani kuliko hivyo ulivyofanya mrembo?,kwani najua mambo mengi humu ni fake,ila sio hivyo ulivyofanya,anyway nakusamehe.
 
Nilishampa sana vyakwangu? Ila sasa anashangaa kwanini nimekuwa hivi, kiasi cha kwamba hadi vile vitu ambavyo mwanzoni nilikuwa nampa bila kuniomba, sasaivi anaviomba kwa machozi na havipati, shame foool
 
Yaani utakuta unampenda mdada na unamfanyia kila kitu ikiwemo kumtoa out, kumpelekea vijazawadi, hela za matumizi n.k lakini yeye hana hata mpango huo.

Yaani hata kukupa kizawadi cha pipi hamna.

Yeye ameganda tu anasubiri umfanyie kila kitu,kisa eti we ndo mwanaume.

Badilikeni wadada sio mpate raha nyie tu siku moja moja mnatutoa out na sie kwa kutumia hela zenu, mnatuletea vizawadi vya uongo na kweli na sisi turidhike kuwa tunapendwa na tunajaliwa.

Sio msubiri kufanyiwa mambo mazuri wakati nyie kuyafanya hamtaki.
Kweelii....
 
Preta,ujue Mungu anakuona,uliniambia kutoka Coyote(Coyoriiiii) ninyooke juu mpaka msikitini nyumba ya pili baada ya ghorofa,nikaja nikagonga,nikaulizia Preta holaaaaa,nikajieleza mpaka nikawaonesha picha yako wapiiiiii,akaja Muarumeru mmoja anauza mirungi akaniambia hii ni Arusha,usijaribu tena kuwaamini videnish vya Arusha,nasema hivi;si bora ungeniambia ni utani kuliko hivyo ulivyofanya mrembo?,kwani najua mambo mengi humu ni fake,ila sio hivyo ulivyofanya,anyway nakusamehe.

jamani jamani.....pale si nilikuwa nakuagizia kwa kina Josephine.......?......kama unataka nikuagizie kwetu si ungesema......kwani Ngarenaro na Coyoriii kuna umbali gani........
 
Kwakel JF inaongozwa na midume ya kulalamika tu kila mada ni midume tu inalalamika wanawake tujipongeze tunavifua vya kukaa na siri nying mnoo
 
Back
Top Bottom