Hamna kitu kinachoboa katika mapenzi kama hiki

Hamna kitu kinachoboa katika mapenzi kama hiki

Point sana bro madada mademu wengine vp wanataka kupewa sana wao kutoa hata kidogo wanagoma
 
Mwanaume mzima unalia lia aaaaarghhhh, kwani umelazimishwa kumpa zawadi?????
 
Nawe punguza hivyo unavyompatia. Siku nyinhine akikuomba sema sina au punguza kujipendekeza.
 
kama umechoka kutoa hizo zawadi basi kuwa mwanamke uletewe hizo zawadi.
 
Kijana unataka kuhongwa? Tunahangaika kutafuta Pesa kwa ajili ya wanawake... Maana mwanamke ndo mama wa nyumba. Acha kulalamika

Yaan wewe ukiendekeza wanawake unaweza usijenge kamwe... shauri yako
 
Alafu bado wanalilia kuolewa... kama zawadi ya buku tu unashindwa kutafuta humo kwenye ndoa si utaua watoto njaa!!!
Hapo piga usepe tu huyo sio mke, vitu vingine haviitaji degree kuvifanya

Una akili wewe.. hilo ndo la msingi. Kwa mtu kama huyo ni kuchapa na kuondoka
 
Yaani utakuta unampenda mdada na unamfanyia kila kitu ikiwemo kumtoa out, kumpelekea vijazawadi, hela za matumizi n.k lakini yeye hana hata mpango huo.

Yaani hata kukupa kizawadi cha pipi hamna.

Yeye ameganda tu anasubiri umfanyie kila kitu,kisa eti we ndo mwanaume.

Badilikeni wadada sio mpate raha nyie tu siku moja moja mnatutoa out na sie kwa kutumia hela zenu, mnatuletea vizawadi vya uongo na kweli na sisi turidhike kuwa tunapendwa na tunajaliwa.

Sio msubiri kufanyiwa mambo mazuri wakati nyie kuyafanya hamtaki.
zawadi ni zawadi na pia ni kumthamini umpendae hata kama ni pipi tu,ila siyo kupeana maua kama watoto.
 
Back
Top Bottom