Hamna kitu kinachoboa katika mapenzi kama hiki

Hamna kitu kinachoboa katika mapenzi kama hiki

Robin Van Mysterio

Senior Member
Joined
Jul 24, 2014
Posts
102
Reaction score
15
Yaani utakuta unampenda mdada na unamfanyia kila kitu ikiwemo kumtoa out, kumpelekea vijazawadi, hela za matumizi n.k lakini yeye hana hata mpango huo.

Yaani hata kukupa kizawadi cha pipi hamna.

Yeye ameganda tu anasubiri umfanyie kila kitu,kisa eti we ndo mwanaume.

Badilikeni wadada sio mpate raha nyie tu siku moja moja mnatutoa out na sie kwa kutumia hela zenu, mnatuletea vizawadi vya uongo na kweli na sisi turidhike kuwa tunapendwa na tunajaliwa.

Sio msubiri kufanyiwa mambo mazuri wakati nyie kuyafanya hamtaki.
 
Hee!! Leo kimechange?? Jana sredi nyingi zilikuwa kuwalaumu wanaume hawajishughulishi leo wanawake tena??
 
Yaani utakuta unampenda mdada na unamfanyia kila kitu ikiwemo kumtoa out,kumpelekea vijazawadi,hela za matumizi n.k lakin yeye hana hata mpango huo.

Yaani hata kukupa kizawadi cha pipi hamna!!!! Yeye ameganda tu anasubiri umfanyie kila kitu,kisa eti we ndo mwanaume!!!

Badilikeni wadada sio mpate raha nyie tu siku moja moja mnatutoa out na sie kwa kutumia hela zenu.. mnatuletea vizawadi vya uongo na kweli na sisi turidhike kuwa tunapendwa na tunajaliwa.. sio msubiri kufanyiwa mambo mazuri wakati nyie kuyafanya hamtaki.

HATA KWA GREDA MWANAMKE/MDADA HANITOI OUT!!!! bora vizawadi ila out kwa pesa yake hapana, na hata ikitokea nimetoka nae basi jua pesa yote nalipa mimi sio yeye!!!
 
Na hakuna kitu kinaboa kama mwanaume mlalamishi.........si usubiri.......je kama unataka kufanyiwa surprise..........

Mmmmh suprise gani ban.. mtu unasubiria suprise kama unamsubiria yesu... bora kuongea tu
 
sio kila mtu anaelewa na ukiona hupewi wewe ujue kuna mwenzako anapewa
 
HATA KWA GREDA MWANAMKE/MDADA HANITOI OUT!!!! bora vizawadi ila out kwa pesa yake hapana, na hata ikitokea nimetoka nae basi jua pesa yote nalipa mimi sio yeye!!!

Duuuuh kweli ww una mahaba ya dhati... yaan hata demu akitaka atumie hela yake kukutoa out bado unakata!!!?
 
Tatizo hujafanya kwa utashi ndio maana unataka a pay back as you did to her! Bwt mbona tushabadilika siku hizi utakuwa una hang na wanafunzi wa o level na advance ndio maana! Mie my man siku nyingine hatulali hata nyumbani tunaenda kulala hotelini kabisaaaaaaa! ( gharama juu yangu) mwanzo alikuwa hajazoea alikuwa anahisi namtengenezea mazingira ya kumpiga mzinga wa maana kumbe mwenzie wala!
 
heeeeeeeehh ng'astuka machale kundesaa, loooh alikuomba ununulie zawadi? kumbuka mtu anajikuna anapojifikia ati
 
pengne hupendwi ndo maana anakuona unajipendekeza tu kwake
 
Huyo atakuwa hajakupenda mbona mie wangu nampa sana tena kuliko hata yeye anavyonipa
 
HATA KWA GREDA MWANAMKE/MDADA HANITOI OUT!!!! bora vizawadi ila out kwa pesa yake hapana, na hata ikitokea nimetoka nae basi jua pesa yote nalipa mimi sio yeye!!!

Aisee nakutafuta.......unapatikana wapi........?
 
Tatizo hujafanya kwa utashi ndio maana unataka a pay back as you did to her! Bwt mbona tushabadilika siku hizi utakuwa una hang na wanafunzi wa o level na advance ndio maana! Mie my man siku nyingine hatulali hata nyumbani tunaenda kulala hotelini kabisaaaaaaa! ( gharama juu yangu) mwanzo alikuwa hajazoea alikuwa anahisi namtengenezea mazingira ya kumpiga mzinga wa maana kumbe mwenzie wala!

Daaah we ndo wife material naetafuta...
 
Back
Top Bottom