Chimbuvu
JF-Expert Member
- Jul 17, 2012
- 4,401
- 2,341
Asante people .nashukuru sana
matokeo plizzz!!!
Libolo FC
manoah tunakundalia mashtaka ya jaribio la kutaka kumuozesha Passion Lady aliye mke halali wa Ruttashobolwa kwa mtu aitwaye Tonykp. Ngoja Judgement na Baba V waje.
Heshima yako Arushaone ! Kwa idhini ya Passion Lady na Tonykp niliyafanya yote hayo. Rejea katika marekebisho ya katiba mpya mwanamke mmoja anaruhusiwa kua na waume wawili, mmoja anakua mme mkubwa ( Tonykp ) na mme mdogo ( Ruttashobolwa )
manoah tunakundalia mashtaka ya jaribio la kutaka kumuozesha Passion Lady aliye mke halali wa Ruttashobolwa kwa mtu aitwaye Tonykp. Ngoja Judgement na Baba V waje.
aakhaa babu,ushindwe
mi sijakubaliana chochote na ww
Mimi ni mke halali wa Ruttashobolwa!
Ukabira huu utalimaliza taifa letu kha!