Hajui lolote huyu mkuu, vilaza wanatafutiana excuse, eti Dr. Tale.....🤣Sidhani nina wivu lakini unadhani kumuibua Diamond au mtu mwingine yeyote ni sawa na kuvumbua law of physics ambayo aliifanyia tafiti na mpaka leo haikuwa kupingwa??
Sijajua kama Dr. Taletale ametunukiwa shahada hii kwa sababu ya kumuibua Diamond au kwa sababu ya jambo muhimu kama hilo la mvumbuzi wa gravitational force! Ningependa unisaidie sababu ya kutunikiwa shahada hii ya Dr. Taletale.