BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 2,712
- 6,515
Watu huko CCM wameanza kufunguka, Kigwangala anakuambia kuna Viongozi wananunua majumba ya Dolla Million 6 kule Masaki ndani ya kipindi kifupi tangu wawe Viongozi.Hajawataja ni wakina nani hasa ila lazima watakuwa ndio wale wapambe wa Mama.
Hizi ni tuhuma nzito sana, ingawa CCM wote ni wale wale ila ukweli upo.
Samia anawaogopa Mafisadi kuliko anavyo ogopa kitu chochote kile, kwa sasa wanajipigia wanavyo taka, Viongozi wanajichotea pesa na Mama anawaogopa kwa kuhofia hawatamsaidia kwenye kampeni zijazo za Uraisi.
Kuna mdau aliniambia kuna Wazungu wake wanataka kuweka Hoteli Ngorongoro na Serengeti, wameombwa Dolla Million 1 ili wapewe vibali sasa Wazungu wa watu hawajazoea rushwa imebidi wa cancel biashara ya hoteli wasepe kwao. Hii ni wamekataa maana yake wengi inabidi watoe rushwa ndio wapewe vibali bya kujenga Hoteli Polini.
Then utasikia Raisi anafanya move ya kuvutia wataliiz how come anavutia watalii ilihali hapambani na watu kama hawa wanao kamwisha uwekezaji?
Ufisadi awamu hii umezid hata enzi za Kikwete, enzi za Wazee wa Vijisent, Watu wanajipigia sana ndio maana hata huko CCM ambao wako nje wameanza kulia lia ingawa hata wao wenyewe wangekuwa kwenye systeam wangepiga tu.
Hizi ni tuhuma nzito sana, ingawa CCM wote ni wale wale ila ukweli upo.
Samia anawaogopa Mafisadi kuliko anavyo ogopa kitu chochote kile, kwa sasa wanajipigia wanavyo taka, Viongozi wanajichotea pesa na Mama anawaogopa kwa kuhofia hawatamsaidia kwenye kampeni zijazo za Uraisi.
Kuna mdau aliniambia kuna Wazungu wake wanataka kuweka Hoteli Ngorongoro na Serengeti, wameombwa Dolla Million 1 ili wapewe vibali sasa Wazungu wa watu hawajazoea rushwa imebidi wa cancel biashara ya hoteli wasepe kwao. Hii ni wamekataa maana yake wengi inabidi watoe rushwa ndio wapewe vibali bya kujenga Hoteli Polini.
Then utasikia Raisi anafanya move ya kuvutia wataliiz how come anavutia watalii ilihali hapambani na watu kama hawa wanao kamwisha uwekezaji?
Ufisadi awamu hii umezid hata enzi za Kikwete, enzi za Wazee wa Vijisent, Watu wanajipigia sana ndio maana hata huko CCM ambao wako nje wameanza kulia lia ingawa hata wao wenyewe wangekuwa kwenye systeam wangepiga tu.