kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,011
- 11,942
Naam wewe acha kuimba kwaya hapa na kupiga vinanda kama Dr wako wa Vinanda Padri Slaa,hata hiyo CHADEMA nayo ijifunze,Mh Satta amewajumuisha Mawaziri toka nje ya chama chake nyie CHAMA CHA MADEM,hata kwenye serikali kivuli mnapigana vikumbo ninyi kwa ninyi,acha kuzijumuisha kambi zengine za upinzani,na muda si mrefu km mlivyokuwa mnaota kwa Padri Slaa bado na mkakaribia kufa kwa aibu na huyo Padri akaugua ukichaa naona kila kitambo anapayuka tu.
Haujaeleweka kabisa sijui ulitaka kusemaje?hebu kajipange tena ili watu waje wakuelewe unachomaanisha.