Hamis Kigwangalla amjibu Bashe kuhusu CCM kujifunza kwa Zambia

Hivi aliyegalagazwa hapa ni nani, Kigwangalla, ambaye ni MB sasa ama ni huyo rafiki yako Bashe ambaye ni mropokaji nje ya vikao?
Safari ilikuwa ni ya kuelekea wapi, Bungeni siyo, nani amefika sasa?
Sijawahi elewa Hamis Kigwangala ni mwanasiasa mwenye msimamo wa aina gani ndani ya CCM. Huwa simwelewi,maana haeleweki. Anafanya siasa za majungu na unafiki. Heri ya Bashe ameweka msimamo wake wazi ni wapi anasimamia. Inaonyesha kugaragazwa vibaya katika kura za mchujo za CCM kumemwacha Kigwangala na uwoga na kutojiamini.
 
Hivi aliyegalagazwa hapa ni nani, Kigwangalla, ambaye ni MB sasa ama ni huyo rafiki yako Bashe ambaye ni mropokaji nje ya vikao?
Safari ilikuwa ni ya kuelekea wapi, Bungeni siyo, nani amefika sasa?
Bagaile

hujawahi kumshinda BAshe ndani ya vikao vyenu wala nje ya vikao

Sometime ni bora unyamaze.... hugumgaragaza Bashe, ulibebwa na Godfather, na Godmother

Ongoza jimbo lako, achana na kila hoja utapasuka msamba
 
Hivi aliyegalagazwa hapa ni nani, Kigwangalla, ambaye ni MB sasa ama ni huyo rafiki yako Bashe ambaye ni mropokaji nje ya vikao?
Safari ilikuwa ni ya kuelekea wapi, Bungeni siyo, nani amefika sasa?

Tena baada ya kutumia mabilioni kununua wapiga kura za maoni.
 
Kingwangala hajathibitisha URAIA wake, analindwa. Siku tutakapoamua tutamrudisha kwao! We subiri tu!
 
Hivi huyu Nape Nauye, DC wa Masasi anafanya lini kazi yake ya U DC? Mbona namsikia akiwa nje ya kituo chake cha kazi? Hii inaonesha kuwa kumbe hatuwahitaji Ma DC!
 
Ahsante sana Kaka kwa tusi lako...

Kigwangalla una matatizo makubwa sana kisaikolojia na unapaswa ubadilike ikiwa kweli unataka kuwa mmoja wa viongozi bora hapa nchini. Huwa ninasikitika sana kusoma comments zako, kila unapokosolewa mara nyingi unaona kuwa UMETUKANWA. badilika!!
 
Hivi aliyegalagazwa hapa ni nani, Kigwangalla, ambaye ni MB sasa ama ni huyo rafiki yako Bashe ambaye ni mropokaji nje ya vikao?
Safari ilikuwa ni ya kuelekea wapi, Bungeni siyo, nani amefika sasa?
Mkuu hivi mnatoa wapi ujasiri wa kujadili hizi politiki 10 months after the election wakati 26% Nzega hawajui kusoma, kuandika ???????? Habari kama ilivyoripotiwa hapa chini:

26% Nzega hawajui kusoma, kuandika

na Mustapha Kapalata, Nzega

ZAIDI ya asilimia 26 ya wakazi wa wilaya ya Nzega, mkoani Tabora, hawajui kusoma na kuandika.

Akisoma risala katika kilele cha wiki ya watu wazima kilichofanyika kata ya Ndala, wilayani hapa, Ofisa Elimu ya Watu Wazima Wilaya, Pius Kaputa, alisema asilimia hiyo ni kubwa ukilinganisha na wakati uliopo wa kupambana adui ujinga.

Alisema asilimia 26 ni sawa na wakazi 63,252 ambapo wanawake ni 37,952 na wanaume 25,300.

Alisema wilaya ina programu za elimu ya watu wazima ambayo inafanya jitihada za kupunguza idadi kubwa ya watu wazima wasiojua kusoma na kuandika

Alizitaja programu hizo kuwa ni MUKEJA mpango wa uwiano kati ya elimu ya watu wazima na mpango unalenga kuiwezesha jamii kujifunza kwa lengo la kuboresha hali ya maisha yao, programu ya MEMKWA mpango wa elimu ya msingi kwa walioikosa ambao hutoa fursa kwa watoto wenye umri wa miaka 11-18 ambao hawakupata elimu ya msingi kupitia mfumo rasmi kwa visababishi mbalimbali kwa jamii.

Alisema pamoja na juhudi hizo, bado kuna changamoto za ufinyu wa bajeti kwa ajili ya kuendesha programu hizo, wawezeshaji wa programu hizo kukosa mafunzo rasmi ya uwezeshaji wa vituo hivyo hasa na mabadiliko ya masomo kuwa mengi.

Kwa upande wake, Mkuu wa Wilaya ya Nzega, Frolence Holombe, alisema idadi hiyo ya wasiojua kusoma ni kubwa hivyo jitihada za makusudi zinahitajika ili kukabiliana na adui huyo.

Alizitaka taasisi mbalimbali zisizo za kiserikali kujitokeza kukabiliana na wimbi hilo la kuhakikisha wananchi hao wanaweza kusoma, kuandika na kuhesabu kwa kushirikiana na halmashauri ya wilaya pamoja na programu hizo zilizowekwa.
 
26% ya wakazi wa nzega hawajui kusoma wala kuandika.
Kuna uwezekano mkubwa hawa ndio waliompigia kura huyu Bagaile.
 
Kigwa alikuwa ni daktari wa Mama, anazidi kujikomba na kujidhalilisha, hata hivyo ukweli unabaki palepale kuwa hakuwa chaguo la wana Nzega na alibebwa sana kupata nafasi hiyo, hata hivyo anajua fika kuwa 2015 hatapata tena,ilo halikwepeki.

2015 kinyang'anyiro kitakuwa kikabli mno hakuna wa kumpigia kampeni mwenzake kila mmoja jimboni kwake kutafukuta nani wa kumsaidia mwenzake?
 
Hakuwa chaguo la Nzega, sasa alichaguliwa nani? Bashe?

Kigwa alikuwa ni daktari wa Mama, anazidi kujikomba na kujidhalilisha, hata hivyo ukweli unabaki palepale kuwa hakuwa chaguo la wana Nzega na alibebwa sana kupata nafasi hiyo, hata hivyo anajua fika kuwa 2015 hatapata tena,ilo halikwepeki.

2015 kinyang'anyiro kitakuwa kikabli mno hakuna wa kumpigia kampeni mwenzake kila mmoja jimboni kwake kutafukuta nani wa kumsaidia mwenzake?
 
Hakuwa chaguo la Nzega, sasa alichaguliwa nani? Bashe?

Kigwa kama Bashe amenena nje ya vikao na wewe unataka atoe maoni yake ndani ya vikao mbona na wewe unaingia kwenye mkumbo huo wa kusema nje ya vikao? Au JF ni kikao cha CCM? Rudini Nzega mkapambane na wala si humu JF. Hapa tunaongelea masuala ya kitaifa na wala si ugomvi wenu wa Nzega.
 
Hakuwa chaguo la Nzega, sasa alichaguliwa nani? Bashe?

Dude!!!!!!!!! Work out on this one, si muda wa politiki sasa!!!!!!!

26% Nzega hawajui kusoma, kuandika

na Mustapha Kapalata, Nzega

ZAIDI ya asilimia 26 ya wakazi wa wilaya ya Nzega, mkoani Tabora, hawajui kusoma na kuandika.

Akisoma risala katika kilele cha wiki ya watu wazima kilichofanyika kata ya Ndala, wilayani hapa, Ofisa Elimu ya Watu Wazima Wilaya, Pius Kaputa, alisema asilimia hiyo ni kubwa ukilinganisha na wakati uliopo wa kupambana adui ujinga.

Alisema asilimia 26 ni sawa na wakazi 63,252 ambapo wanawake ni 37,952 na wanaume 25,300.

Alisema wilaya ina programu za elimu ya watu wazima ambayo inafanya jitihada za kupunguza idadi kubwa ya watu wazima wasiojua kusoma na kuandika

Alizitaja programu hizo kuwa ni MUKEJA mpango wa uwiano kati ya elimu ya watu wazima na mpango unalenga kuiwezesha jamii kujifunza kwa lengo la kuboresha hali ya maisha yao, programu ya MEMKWA mpango wa elimu ya msingi kwa walioikosa ambao hutoa fursa kwa watoto wenye umri wa miaka 11-18 ambao hawakupata elimu ya msingi kupitia mfumo rasmi kwa visababishi mbalimbali kwa jamii.

Alisema pamoja na juhudi hizo, bado kuna changamoto za ufinyu wa bajeti kwa ajili ya kuendesha programu hizo, wawezeshaji wa programu hizo kukosa mafunzo rasmi ya uwezeshaji wa vituo hivyo hasa na mabadiliko ya masomo kuwa mengi.

Kwa upande wake, Mkuu wa Wilaya ya Nzega, Frolence Holombe, alisema idadi hiyo ya wasiojua kusoma ni kubwa hivyo jitihada za makusudi zinahitajika ili kukabiliana na adui huyo.

Alizitaka taasisi mbalimbali zisizo za kiserikali kujitokeza kukabiliana na wimbi hilo la kuhakikisha wananchi hao wanaweza kusoma, kuandika na kuhesabu kwa kushirikiana na halmashauri ya wilaya pamoja na programu hizo zilizowekwa.
 
Dr Kigwa please tumikia wananchi wa jimbo lako achana na marumbano ya akina Bashe, mi binafsi nakuchukulia kama ni mtu wa kubebwa tu! Bila God father usingekuwa hapo! Bashe can fight on his own japo ana maadui wengi, nakumbuka hata kwenye uchaguzi NEC mi ni mjumbe nilikuwepo alichofanyiwa nakumbumbuka was unfair! Adui yake mkuu namjua ila sijui kama yeye anamjua vizuri but it seems that we Kigwa unatumika bila kujijua.
 
Unamuonea Bashe kwa sababu ni mtoto mwenzio,
Mguse Lucas Selelii uone.
 
Back
Top Bottom