Iran, Hamas, Hezbollah, Isis, Houthi, huwa wanafurahi sana kukiwa na rais wa Marekani aliyetokea chama cha Democrats kama Biden na walitegemea Kamala Harris ashinde.
Waliposikia ni rais wa Republican kashinda hawakufurahi kabisa.
Huyu ni moja wa mateka walioachiwa akielezea hali ilivyokuwa baada ya Kamala Harris kushindwa.
Waliposikia ni rais wa Republican kashinda hawakufurahi kabisa.
Huyu ni moja wa mateka walioachiwa akielezea hali ilivyokuwa baada ya Kamala Harris kushindwa.