Hamas walimkuta Joshua amevaa bulletproof

Watu hawawezi kuwaza sawa.....so usibebe zigo la sonona moyoni.
 
Kwa kweli kwanza lazima niwaonee huruma wana familia kwa kupoteza mtoto lakini jana kuna vitu viwili kaongea mzee vinatia mashaka kidogo. Kwanza askari wa tano waliuwawa katika sehemu waliyokuwa wanaishi, sasa kweli wanajeshi wanaishi na raia wa kawaida wanafunzi? na kwanini alichukuliwa yeye tu kwenye hiyo kambo hakukuwa na wanafunzi wengine? na ni chuo gani hicho ili tu google tujuwe location. Alijificha safe room lakini walivunja na kumchukuwa na alikuwa amevaa bullet proof, alipata wapi hii kitu raia wa kawaida? nadhani kuna shida sehemu. Huwa tunasikia kaende chuo lakini sijasikia chuo hicho kikitajwa.
 
Ukiwa mwanajeshi au mgambo umekutwa katika kambi ya wanajeshi na wewe bukta ya kijeshi na bullet proof utauliwa tu, kwa maana hata yeye angepata fursa angeuwa lakini kakutwa mapema sana bado kalala ila askari wa 5 kwenye shift waliuliwa. Israel katika mpaka wa Ghaza sehemu hatari wanaweka watu kama mgambo kuwa watu wa kwanza kuumia, wewe hata kama chuo utakubali unapelekwa mfano pale kwenye mpaka wa Rwanda na Congo?
 
Ni wapi umeona nimeandika chupi?
Pensi/boxer ni chupi??
Na je kuna mahali nimetaja kuwa aina ya vazi la kijeshi aliloonekana amevaa ni la Israel…?
Juiulize ni kwa nini baba yake aliitwa na Serikali ya Israel yenyewe!!
Hebu ficha ukilaza wako huko!!!
 
Wanazunguka ila kwa sisi wasafiri nilipopata taarifa siku ya kwanza tu nilikua na majibu sahihi ambayo mnaendelea kupata na mtajua ukweli huko mbele maana Serikali ya Israel imeiomba Serikali ya Tanzania kutumia ushawishi wa Nchi marafiki na Palestine kurudisha mwili pana kitu mtaendelea kuelewa hapo...
 
Ndio masomo ya kilimo hayo?
 
Sio kusomea kilimo na alikuwa shambani?

Ile clip mbona inaonyesha watu wanapita yeye ndio kashikiliwa na anaulizwa maswali,Kuna Sababu zilizopelekea jamaa kuuwawa sio bure,maana wale jamaa wangemuua tu bila hata kumuuliza chochote na alikuwa kavaa boksa ya jeshi.
 
Kuna sababu ya kumua hawawez kumuua bila sababu
Watu wanashindwa kutuliza Akili na kutafakari Kwa kina,Ile video jamaa wanamuuliza maswali Kwanza,Kwa Nini wasinge muua bila kutuliza na huku akiwa kavalia boksa ya jeshi Kuna mazingira alikuwa nayo yaliyosababisha auwawe.
 
Mzee kaja kuongeza maswali?
 
Ukutwe na bulletproof jumlisha ile boxer ya jeshi...Dunia itajua ukweli tu hamna janja janja hapa .
Accumen Mo, post: 48894118, member: 666454yule ni raia wa nchi yako, unatakiwa uone ufahari kajiunga na jeshi la israel. Je angejiunga upande wa hamas ungejisikiaje?
 
Ni dhahiri kama aliishi na wanajeshi, huyu kijana alikuwa amejiunga na jeshi la israel
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…