mbalaka
JF-Expert Member
- Oct 7, 2017
- 2,241
- 2,622
Mkuu huu mzozo hauhitaji Bible verses...Jerusalem no mji mkuu wa Israel tangu enzi za wafalme wa Israel someni maandiko muelimike na hakuna nchi inayitwa Palestine ndan ya israel. Pia alama za taifa zinazotumika Sasa na Israel ndizo zilizotumiwa na mfalme Daudi na wengine wengine mf. Alama ya nyota,vinara vya taa na pesa Aina ya. shekel hata ikulu ilikuwa Jerusalem na sio Telaviv