mbalaka
JF-Expert Member
- Oct 7, 2017
- 2,241
- 2,622
hata mimi jamaa kaniacha katika hali kicheko kikubwa..Duh...nimecheka sana mkuu, you made my day
hao jamaa ni nuksi.. kama hadi nuhu walimgomea!!
hata mimi jamaa kaniacha katika hali kicheko kikubwa..Duh...nimecheka sana mkuu, you made my day
Maishu kama haya huwa yanafanana kiasili... yaani Chifu akifa basi hafi peke yake.. anaondoka na maisha ya Wengi...
Suala la Kua Umoja Wamataifa Ni Taasisi Yanani Hili Sitaki NiliongeleeKwani umoja wa mataifa ndo wananchi wa Israel,?
Halafu hujui kuwa Umoja wa Mataifa ni taasisi ya Marekani ili kuitawala Dunia
Sasa walisave vipi wakati waliangamia kwa gharika? Japo walikuwa mafundi wa kuogelea lakini lango la safina Nuhu hakujua jinsi ya kulifungua kwani PIN za kufungulia alikuwa nazo mwenyewe Muumba, wakati huo akitoa kipigo kikari kwa wafwasi wa shetwain
Hezbollah huyo ni mtoto wa Iran that why huwa wanampa Israel nako za kueleweka pia Hezbollah intelligence yao ipo vizuri saanaHezbollah waliionya Israel ikitaka kutaabika imuue mkuu wa kundi hilo. Ni mara kadhaa makamanda wa IDF wanataka kumuua Hassan Nasrallah tokea miaka ya 1990s hadi leo wanasita. Huyu aliyekufa kundi lake dogo na halina nguvu sana
Kwan upi uwe mji mkuu huamua umoja wa mataifa au nchi husika? Hata Dodoma kuwa mji mkuu wa tz hatukuomba umoja wa mataifa tuliamua wenyeweMjii MKUU Huo Unautambua Wewe Na US Ila Sio UMOJA WA MATAIFA
Umetoa jibu murua kabisa!Kwan upi uwe mji mkuu huamua umoja wa mataifa au nchi husika? Hata Dodoma kuwa mji mkuu wa tz hatukuomba umoja wa mataifa tuliamua wenyewe
Haaretz wamesema kuna uchaguzi mkuu ambao unatarajiwa kufanyika na ni uchaguzi huru baada ya miaka 13 hivo makundi yote ya Kipalestina yameamua hayataleta fujo kutokwamisha uchaguzi. Thats why hilo kundi lilitumia maroketi dhaifu kujibu mapigo. Na ukumbuke hadi sasa kuna kundi lina ceasefireBaada ya kipondo kuendelea toka majeshi ya Israel na makamanda wao kuuwawa Islamic jihad watafuta suluhu kusitisha mapigano! View attachment 1262706
Kukoma kupigania haki yako ni UJINGAIla hao watu wa Gaza inaonesha ni wengi maana wanauliwa ila hawakomi
Wapi ISRAEL Wameamua hilo ?!Kwan upi uwe mji mkuu huamua umoja wa mataifa au nchi husika? Hata Dodoma kuwa mji mkuu wa tz hatukuomba umoja wa mataifa tuliamua wenyewe
Ukisoma ww hayo maandiko inatosha nchi hii iloundwa mwaka 1940sJerusalem no mji mkuu wa Israel tangu enzi za wafalme wa Israel someni maandiko muelimike na hakuna nchi inayitwa Palestine ndan ya israel. Pia alama za taifa zinazotumika Sasa na Israel ndizo zilizotumiwa na mfalme Daudi na wengine wengine mf. Alama ya nyota,vinara vya taa na pesa Aina ya. shekel hata ikulu ilikuwa Jerusalem na sio Telaviv
Story za Quran bana znachekesha sanahata mimi jamaa kaniacha katika hali kicheko kikubwa..
hao jamaa ni nuksi.. kama hadi nuhu walimgomea!!
akikujibu nitagKwan upi uwe mji mkuu huamua umoja wa mataifa au nchi husika? Hata Dodoma kuwa mji mkuu wa tz hatukuomba umoja wa mataifa tuliamua wenyewe