Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
Wee sifia tu unyama wa Muizrael. Na wewe siku MAJAMBAZI ya Kizaramo yakija kukuvamia kwako hapo Dar kwa gia umevamia Dar yao, ndipo utachekea chooni. Watu walioko USA utawajua tu. Mmelishwa Propaganda za huko hadi mmeshiba. Kweli Bush kafanya kazi nzuri sana hii miaka 8. Ni kwa watu kama Obama ndiyo pekee hawakula hayo matapishi. Na kuonyesha hivyo, kaanza mahujiano kwa TV ya Kiarabu.
Nakiri kuwa hata mie zamani nilikuwa MPENZI sana wa Waizrael. Nilipoona unyama wa PLO, nikaona kweli Wayahudi ni watu wa kuhurumiwa. Hii niliiacha nilipokuja kumwaga maoni yangu mbele ya member wa humu ndani MTANZANIA. Sijui hata kama anakumbuka. Aliniweka shule kama bwana mdogo wake na nikaelewa somo. Nachokumbuka tu ni kuwa alisema "hata Waarabu nao ni watu, na wao ndiyo wamezulumiwa sana sana".
Kwa hili kweli utaona tofauti kubwa sana kati ya USA na EUROPE.
Ibra wrote (Nakuhakikishia Waisrael wengi ni waungwana sana, fikiria kama Wapalestina au Iran wangekuwa na nguvu kuliko Israel, Israel ingekuwepo leo? isingekuwepo lakini bado pamoja na maguvu yao Israel wanawavumilia Wapelstina!)
Ibra, kabla hawa Waizrael hawajaanza kuja kutoka East and Centre Europe, kuna wengine walikuwa wakiishi huko na Wapalestine. Sijawahi kusikia kama walikuwa wananyanyaswa. Anyway, mengine naona hata wewe unakubalina. Ukipitia huko kwenye artical nyingine, jamaa walijadili sana.
Mlioko USA, jaribuni kusoma NEWS nyingine na kusikiliza news nyingine zaidi ya hilo zinazotawaliwa na Wayahudi huko USA. Ndiyo maana wakati wa vita na Waarabu, waliishambulia AL JAAZIR. Wakati dunia nzima ilikuwa inaMPINGA BUSH, ni nchi chache sana na USA yenyewe ndiyo ilikuwa mbele kumpa suport. Mkamchagua mara ya pili na sasa COWOBOY kamaliza kazi na kuwaacha/kutuacha HOI dunia nzima. Kweli imesemwa MWANAUME WA SHOKA UTAMUELEWA AKIMALIZA.........
Nakiri kuwa hata mie zamani nilikuwa MPENZI sana wa Waizrael. Nilipoona unyama wa PLO, nikaona kweli Wayahudi ni watu wa kuhurumiwa. Hii niliiacha nilipokuja kumwaga maoni yangu mbele ya member wa humu ndani MTANZANIA. Sijui hata kama anakumbuka. Aliniweka shule kama bwana mdogo wake na nikaelewa somo. Nachokumbuka tu ni kuwa alisema "hata Waarabu nao ni watu, na wao ndiyo wamezulumiwa sana sana".
Kwa hili kweli utaona tofauti kubwa sana kati ya USA na EUROPE.
Ibra wrote (Nakuhakikishia Waisrael wengi ni waungwana sana, fikiria kama Wapalestina au Iran wangekuwa na nguvu kuliko Israel, Israel ingekuwepo leo? isingekuwepo lakini bado pamoja na maguvu yao Israel wanawavumilia Wapelstina!)
Ibra, kabla hawa Waizrael hawajaanza kuja kutoka East and Centre Europe, kuna wengine walikuwa wakiishi huko na Wapalestine. Sijawahi kusikia kama walikuwa wananyanyaswa. Anyway, mengine naona hata wewe unakubalina. Ukipitia huko kwenye artical nyingine, jamaa walijadili sana.
Mlioko USA, jaribuni kusoma NEWS nyingine na kusikiliza news nyingine zaidi ya hilo zinazotawaliwa na Wayahudi huko USA. Ndiyo maana wakati wa vita na Waarabu, waliishambulia AL JAAZIR. Wakati dunia nzima ilikuwa inaMPINGA BUSH, ni nchi chache sana na USA yenyewe ndiyo ilikuwa mbele kumpa suport. Mkamchagua mara ya pili na sasa COWOBOY kamaliza kazi na kuwaacha/kutuacha HOI dunia nzima. Kweli imesemwa MWANAUME WA SHOKA UTAMUELEWA AKIMALIZA.........