Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 7,191
- 10,925
Kwa mara ya mwanzo wapiganaji wa Houth walio kusini ya Israel waktenganishwa na nchi ya Saudi Arabia wamekutana na wenzao,Hamas ambao wako karibu na katikati ya Israel upande wa magharibi wamefanya mktuano wa pamoja ili kuratibu mapigo dhidi ya adui yao.
Mkutano huo haukutajwa eneo ulipofanyika na iwapo kulikuwa na uwakilishi kutoka Hizbullah ambao wako kaskazini ya Israel na haikutajwa pia iwapo vikundi vya wapiganaji kutoka Iraq ambavyo ni magharibi ya Israel iwapo navyo vilipeleka wawakilishi wao.
Hapo juzi vikundi hivyo kutoka magharibi vilitoa taarifa ya kuupiga uwanja wa ndege wa kimataifa wa Ben Gurion ambao upo Tel aviv kwa kutumia droni.Taarifa hiyo haikuthibitishwa na Israel na pia vikundi hivyo kutoka Iraq havikutoa takwimu za madhara ya droni yao.
Mkutano huo haukutajwa eneo ulipofanyika na iwapo kulikuwa na uwakilishi kutoka Hizbullah ambao wako kaskazini ya Israel na haikutajwa pia iwapo vikundi vya wapiganaji kutoka Iraq ambavyo ni magharibi ya Israel iwapo navyo vilipeleka wawakilishi wao.
Hapo juzi vikundi hivyo kutoka magharibi vilitoa taarifa ya kuupiga uwanja wa ndege wa kimataifa wa Ben Gurion ambao upo Tel aviv kwa kutumia droni.Taarifa hiyo haikuthibitishwa na Israel na pia vikundi hivyo kutoka Iraq havikutoa takwimu za madhara ya droni yao.