Hamas kuwaachia mateka iwapo Israel watasitisha vita

Suley2019

JF-Expert Member
Oct 7, 2019
1,817
4,568
Kiongozi wa Hamas, Mousa Abu Marzouk amesema amesema kuwa ilikuwa ni vigumu kuachiliwa mateka wanaowashikiria wakati Israel ikiishambulia Gaza kwa mabomu.

Kiongozi huyo wa Hamas ameyasema hayo wakati wa mahojiano maalumu na Shirika la Habari la Uingereza (BBC), huku akiahidi kwamba kundi lake litawaacjia mateka hayo.

"Tutawaachilia. Lakini tunahitaji kusitisha mapigano," amesema kiongozi huyo wa juu wa Hamas.

Wakati takribani watu 249 wanashikiliwa kama mateka na wananmgambo wa Hamas, Wizara ya afya inayoongozwa na kundi hilo Imesema kuwa watu 10,000 wameuawa tangu Israel ianze operesheni mwezi uliopita.

Kwa mujibu wa BBC, hivi majuzi Marzouk alisafiri hadi Moscow kujadili kuhusu watu wanane wenye uraia pacha wa Russia na Israel ambao ni sehemu ya waliotekwa na Hamas.

Aidha, kiongozi huyo amejitenga na madai kuhusu wananmgambo wake kuua raia, akisema kuwa kundi hilo linapambana na walengwa tu.

Kwa mujibu wa BBC, Marzouk ameliambia shilika hilo la habari kwamba wanawake, watoto na raia si sehemu ya mashambulizi ya Hamas, mazungumzo hayo yanamfanya kiongozi wa juu kuzungumza na BBC tangu mauaji ya Oktoba 7, mwaka huu.

Wangeweza tu kuwaachilia mateka, amesema, ikiwa "Waisraeli watasimamisha mapigano ili tuweze kuwakabidhi kwa Msalaba Mwekundu."

Kwa mujibu wa Marzouk, Kiongozi wa kundi la Kijeshi la Hamas la ‘Qassam Brigades,’ Mohamed el-Deif, aliwapa amri askari wake kutoua raia.

"El-Deif aliwaambia wazi wapiganaji wake 'msiue mwanamke, msiue mtoto na msiue mzee'," amesema na kuongeza kuwa; waliua walengwa, ni majeshi au askari pekee waliuawa,’ amesema.

Na alipoulizwa iwapo mrengo wa kisiasa wa Hamas ulijua kuhusu maandalizi ya shambulio hilo, kiongozi huyo amesema kuwa mrengo huo wenye silaha "sio lazima kushauriana na uongozi wa kisiasa. Hakuna haja."

Mrengo wa kisiasa, ulio na makao yake nchini Qatar, mara nyingi hujionyesha kuwa uko mbali na vikosi vya kijeshi huko Gaza, japo mataifa ya ulaya hayaoni tofauti yoyote.
 
Israel nayo inasema wawachie mateka wao kwanza alafu nayo ndio itasitisha mashambulizi .Hiili jambo limekaa kama mtego mtego kwa kila upande, Hamas wanataka wapewe spouse huku Israel kihisi hii in njia ya kutaka kuji organise na huku Israel ikihisiwa hata hao mateka wakiachiwa kiminyo kutoka kwa jeshi LA IDF kuendelezwa no one is trusting each other
 
KIONGOZI wa Kundi la Hamas, Mousa Abu Marzouk amesema kuwa ilikuwa ni vigumu kuachiliwa mateka wanaowashikiria wakati Israel ikiishambulia Gaza kwa mabomu.

Kiongozi huyo wa Hamas ameyasema hayo wakati wa mahojiano maalumu na Shirika la Habari la Uingereza (BBC), huku akiahidi kwamba kundi lake litawaachia mateka hao.

"Tutawaachilia, lakini tunahitaji kusitisha mapigano," amesema kiongozi huyo wa juu wa Hamas.

Wakati takribani watu 249 wanashikiliwa kama mateka na wananmgambo wa Hamas, Wizara ya afya inayoongozwa na kundi hilo Imesema kuwa watu 10,000 wameuawa tangu Israel ianze operesheni mwezi uliopita.
 
Israel nayo inasema wawachie mateka wao kwanza alafu nayo ndio itasitisha mashambulizi .Hiili jambo limekaa kama mtego mtego kwa kila upande, Hamas wanataka wapewe spouse huku Israel kihisi hii in njia ya kutaka kuji organise na huku Israel ikihisiwa hata hao mateka wakiachiwa kiminyo kutoka kwa jeshi LA IDF kuendelezwa no one is trusting each other
Hats Hamas ikiwaachia vita haiishi, Israeli anachukua hilo eneo na atakuwa analisimamia.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Sijui lugha ndio imekupiga chenga. Hamas wanasema wapo tayari kuwaachia "foreign nationals " maana yake ni wale raia wa mataifa mengine kama wale waranzania wenzetu waliotekwa ila kutokana na mazingira ya vita kwa sasa wanashindwa kufanya hivyo so mashambulizi ya kisimama wanaweza kuwaachia.lakini siyo raia wa Israel walioshikiliwa mateka hao ni mpaka wafungwa wao waachiliwe kutoka Israel
 
Kama magaidi wa Hamas wanaweka masharti ili kuwaachia mateka hiyo haitawasaidia. Israel hawatakubali ujinga huo wakati wenyewe bado wanaendelea kurusha maroketi kuelekea Israel.
 
Intelligence zinaonyesha majamaa hayana mateka wote wengi wameuawa
 
Kiongozi wa Hamas, Mousa Abu Marzouk amesema amesema kuwa ilikuwa ni vigumu kuachiliwa mateka wanaowashikiria wakati Israel ikiishambulia Gaza kwa mabomu.

Kiongozi huyo wa Hamas ameyasema hayo wakati wa mahojiano maalumu na Shirika la Habari la Uingereza (BBC), huku akiahidi kwamba kundi lake litawaacjia mateka hayo.

"Tutawaachilia. Lakini tunahitaji kusitisha mapigano," amesema kiongozi huyo wa juu wa Hamas.

Wakati takribani watu 249 wanashikiliwa kama mateka na wananmgambo wa Hamas, Wizara ya afya inayoongozwa na kundi hilo Imesema kuwa watu 10,000 wameuawa tangu Israel ianze operesheni mwezi uliopita.

Kwa mujibu wa BBC, hivi majuzi Marzouk alisafiri hadi Moscow kujadili kuhusu watu wanane wenye uraia pacha wa Russia na Israel ambao ni sehemu ya waliotekwa na Hamas.

Aidha, kiongozi huyo amejitenga na madai kuhusu wananmgambo wake kuua raia, akisema kuwa kundi hilo linapambana na walengwa tu.

Kwa mujibu wa BBC, Marzouk ameliambia shilika hilo la habari kwamba wanawake, watoto na raia si sehemu ya mashambulizi ya Hamas, mazungumzo hayo yanamfanya kiongozi wa juu kuzungumza na BBC tangu mauaji ya Oktoba 7, mwaka huu.

Wangeweza tu kuwaachilia mateka, amesema, ikiwa "Waisraeli watasimamisha mapigano ili tuweze kuwakabidhi kwa Msalaba Mwekundu."

Kwa mujibu wa Marzouk, Kiongozi wa kundi la Kijeshi la Hamas la ‘Qassam Brigades,’ Mohamed el-Deif, aliwapa amri askari wake kutoua raia.

"El-Deif aliwaambia wazi wapiganaji wake 'msiue mwanamke, msiue mtoto na msiue mzee'," amesema na kuongeza kuwa; waliua walengwa, ni majeshi au askari pekee waliuawa,’ amesema.

Na alipoulizwa iwapo mrengo wa kisiasa wa Hamas ulijua kuhusu maandalizi ya shambulio hilo, kiongozi huyo amesema kuwa mrengo huo wenye silaha "sio lazima kushauriana na uongozi wa kisiasa. Hakuna haja."

Mrengo wa kisiasa, ulio na makao yake nchini Qatar, mara nyingi hujionyesha kuwa uko mbali na vikosi vya kijeshi huko Gaza, japo mataifa ya ulaya hayaoni tofauti yoyote.
wawaachie wasi waachie moto ni ule ule,yan hapo bado 😅
 
Sijui lugha ndio imekupiga chenga. Hamas wanasema wapo tayari kuwaachia "foreign nationals " maana yake ni wale raia wa mataifa mengine kama wale waranzania wenzetu waliotekwa ila kutokana na mazingira ya vita kwa sasa wanashindwa kufanya hivyo so mashambulizi ya kisimama wanaweza kuwaachia.lakini siyo raia wa Israel walioshikiliwa mateka hao ni mpaka wafungwa wao waachiliwe kutoka Israel
Muyahudi hawezi kudanganyika kirahisi vile. Eti Israel asimamishe mapigano! Waapi!!. Hiyo ni kick ya kutafuta nafasi ili walau HAMAS wapumue kidogo kwani Myahudi kawakamatia chini kinoma mno (kama chatu akamatavyo mbuzi). Wao(HAMAS) waendelee kutapatapa kutafuta huruma za kimataifa; eti wanauawa watoto, wazee, wenye mimba, (walishindwa kutaja mabikra :D ) nk, eti mashambulizi yasimame ili Red Crescent (Msalaba mwekundu) waweze kukabidhiwa mateka, eti foreign nationals, na blaa-blaa nyingi. Walionywa tangu awali waache hiyo kitu wakakaza shingo. Na hata sasa hawajakubali ukweli kwamba Israeli aliapa hatorudi nyuma ni mbele kwa mbele mpaka kieleweke. Na Myahudi alisema wazi (Hakuficha lengo, sio siri) vita haitaisha ni mpaka pale m-HAMAS wa mwisho atakapokuwa amelala/amedondoshwa ie. RIP. Na kundi la HAMAS litabaki ni historia. Myahudi alitoa option moja tu; nayo ni kwa HAMAS kujisalimisha. Lakini mwisho wa siku hao mateka watawaachia pasi na shuruti na wao watakuwa wamemalizwa kabisa.
Ninachompendea Myahudi(Israel) ni kwamba HAFICHI mambo na anaweka bayana siku ya kuja na atakachokifanya na malengo ni nini. Sasa wewe, e.g. HAMAS, unamudu huo mtanange - ingia ulingoni.
 
Kiongozi wa Hamas, Mousa Abu Marzouk amesema amesema kuwa ilikuwa ni vigumu kuachiliwa mateka wanaowashikiria wakati Israel ikiishambulia Gaza kwa mabomu.

Kiongozi huyo wa Hamas ameyasema hayo wakati wa mahojiano maalumu na Shirika la Habari la Uingereza (BBC), huku akiahidi kwamba kundi lake litawaacjia mateka hayo.

"Tutawaachilia. Lakini tunahitaji kusitisha mapigano," amesema kiongozi huyo wa juu wa Hamas.

Wakati takribani watu 249 wanashikiliwa kama mateka na wananmgambo wa Hamas, Wizara ya afya inayoongozwa na kundi hilo Imesema kuwa watu 10,000 wameuawa tangu Israel ianze operesheni mwezi uliopita.

Kwa mujibu wa BBC, hivi majuzi Marzouk alisafiri hadi Moscow kujadili kuhusu watu wanane wenye uraia pacha wa Russia na Israel ambao ni sehemu ya waliotekwa na Hamas.

Aidha, kiongozi huyo amejitenga na madai kuhusu wananmgambo wake kuua raia, akisema kuwa kundi hilo linapambana na walengwa tu.

Kwa mujibu wa BBC, Marzouk ameliambia shilika hilo la habari kwamba wanawake, watoto na raia si sehemu ya mashambulizi ya Hamas, mazungumzo hayo yanamfanya kiongozi wa juu kuzungumza na BBC tangu mauaji ya Oktoba 7, mwaka huu.

Wangeweza tu kuwaachilia mateka, amesema, ikiwa "Waisraeli watasimamisha mapigano ili tuweze kuwakabidhi kwa Msalaba Mwekundu."

Kwa mujibu wa Marzouk, Kiongozi wa kundi la Kijeshi la Hamas la ‘Qassam Brigades,’ Mohamed el-Deif, aliwapa amri askari wake kutoua raia.

"El-Deif aliwaambia wazi wapiganaji wake 'msiue mwanamke, msiue mtoto na msiue mzee'," amesema na kuongeza kuwa; waliua walengwa, ni majeshi au askari pekee waliuawa,’ amesema.

Na alipoulizwa iwapo mrengo wa kisiasa wa Hamas ulijua kuhusu maandalizi ya shambulio hilo, kiongozi huyo amesema kuwa mrengo huo wenye silaha "sio lazima kushauriana na uongozi wa kisiasa. Hakuna haja."

Mrengo wa kisiasa, ulio na makao yake nchini Qatar, mara nyingi hujionyesha kuwa uko mbali na vikosi vya kijeshi huko Gaza, japo mataifa ya ulaya hayaoni tofauti yoyote.
October 7 alikuwemo humu wakati Israel waliuwawa 1,400 (whatever #)
Hakuwa na uchungu wowote wa ubinadamu maana hakusema chochote pengine aliona ni sawa tu.
Leo anataka tumwamini ana uchungu na binadamu wanaokufa kwenye hii vita kwa kuwa Wapalestina wengi wamekufa.
For your information. Hamas hawana uchungu na Wapalestina wanaokufa kwenye hii vita. Kwao huu ni mradi, wanachokoza nyuki wakijua fika Israel atawapiga Gaza, wao watakimbilia mashimoni (underground bankers) ambako civilians katu hawaruhusiwi kujificha, wao watakuwa salama. Innocent civilians watakufa wengi, miundombinu on the surface itaharibiwa watalilia international communities watapewa mihela ya kufa mtu maisha yataendelea.

Ismail Haniya kiongozi Mkuu wa Hamas anakuka kuku kwa mrija Qatar na mwenzake yuko Istanbul Uturuki maisha ya kifahari sana.
Wanaokufa Gaza wanawaona kama kuku wao wa kuchinja tu.
Yasser Arafat alikuwa anaishi Palestine wakati wote anawapigania Wapestina, Mahmoud Abbas yuko Palestine hawa wako Ughaibuni maisha ya starehe, akili mukichwa ..🥴

hebu fanyeni study kidogo kabla ya kujadili haya mambo .. mnayaingia kichwa kichwa sana.​
 
Back
Top Bottom