BRAVO 2 ZERO
JF-Expert Member
- Jul 16, 2013
- 1,175
- 1,189
Lini ChainSaw ilitangazwa kuwa ni bidhaa haramu?
Kiswahili unaitwa msumeno wa moto
Lini ChainSaw ilitangazwa kuwa ni bidhaa haramu?
SheriaSasa hapo katumia hasira au busara?
Limekufa?dingi yangu analo ila limekufa.
Mkuu fanya fanya umpeleleze mshua imekufa vifaa gani then rudisha mrejesho kwangu tufanye biashara chemba(seriously)!dingi yangu analo ila limekufa.
Kwahiyo hawawezi kuharibu kwa mashoka/mapanga?Kuna watu walikuwa wanahribu mikarafuu ndo mana kachoma
Sema lini sio maelezo marefu bila kielelezoMkuu, kwani huna habari kuwa Chain Saw ilishapigwa marufuku kutumika kwenye uvunaji wa mazao ya misitu?
Machine iko fasta dakika 10 Tu usha angusha mti kutegemea ana ugumu wake Shoka utakaa sana masaa halafu linachoshaKwahiyo hawawezi kuharibu kwa mashoka/mapanga?
Umenichekesha sana kwa hiyo kwa kina mangi bora ukutwe na pembeMoshi ukidakwa nayo ni bora udakwe na pembe za ndovu! Au ukihisiwa unayo nyumbani unadakwa nayo na faini milion 5 na kifungo miaka 5 hamna cha mahakamani ni kupoteza mda!!
Kumbuka nyie ni wenyewe kwa wenyewe!!!Sema lini sio maelezo marefu bila kielelezo