KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
Hamad rashid mzee wangu nakuheshimu sana,nakuomba ufute hiyo kali ya mimi na wenzangu tutaanzisha chama "chetu" siipendi,sema tu tutaanzisha chama cha kidemokrasia ya kweli,na pia kama itatokea kweli mkaanzisha hicho chama si lazima wewe uwe mwenyekiti,mfanye uchaguzi huru na wa haki apatikane mwenyekiti,kidogo mjitofautishe na hizi,chadema,cuf,tlp,nccr mageuzi na hata ccm ambako kwenye chaguzi za ndani ukijitokeza kugombea nafasi ya mwenyekiti unaonekana mkorofi au unatumiwa na "adui" kukivuruga chama!!mkifanya hivyo kukawa na uwazi kwenye chaguzi za ndani hata mimi ntajiunga!