mjomba wa kale
JF-Expert Member
- Jan 18, 2012
- 266
- 56
tusubiri tuone maana ametuahidi kuwa tutegemee tumaini jipya mwezi MARCH.
Maswali yangu ni haya;
- Kwa nini kama CUF imepasuka anaing'ang'ania hadi mahakamani?
- Ikumbukwe kuwa Mtatiro anasema hata kama mahakama itamrudisha maamuzi yao POLITICALLY yako palepale, je HR anaweza kufanya kazi bila ushirikiano na wenzakle endapo atarudishwa?
- Kwa nini kama yeye ni jasiri na ana support ya watu kama anavyodai asiachane na hiyo kesi akaendelea na taratibu nyingine za kufungua chama chake na kuleta tumaini jipya analosema wananchi wanahitaji?
Sioni kosa la HR, nadhani anajua analolifanya sisi tusubiri.Wadau jana nilimsikiliza HR akiongea na waandishi wa habari mara baada ya shauri lake kusikilizwa na mahakama! Katika maelezo yake alidai kuwa ana imani kubwa na mahakama na ana imani kuwa itatenda haki. Kimsingi ukimuangalia HR ni kwamba anaung'ang'ania uanachama wa CUF kwa udi na uvumba na ndio kisa cha kwenda mahakamani!
Lakini kinachonishangaza ni kwamba katika maelezo yake aliendelea kusema kwamba CUF IMEPASUKA na wananchi wasubiri tumaini jipya. Akatoa mfano akimnukuu Mwalimu Nyerere kuwa alipata kusema kuwa kioo kikiingia vumbi kifute na kikipasuka kiondoe kwa hiyo alimaanisha kwamba CUF imepasuka na inapaswa kuondolewa. Hapa mimi nilifikiri anazungumzia wazo lake la kuanzisha Chama.
Maswali yangu ni haya;Nawasilisha
- Kwa nini kama CUF imepasuka anaing'ang'ania hadi mahakamani?
- Ikumbukwe kuwa Mtatiro anasema hata kama mahakama itamrudisha maamuzi yao POLITICALLY yako palepale, je HR anaweza kufanya kazi bila ushirikiano na wenzakle endapo atarudishwa?
- Kwa nini kama yeye ni jasiri na ana support ya watu kama anavyodai asiachane na hiyo kesi akaendelea na taratibu nyingine za kufungua chama chake na kuleta tumaini jipya analosema wananchi wanahitaji?
Hapa nilijua tu barubaru atachangia tu
Kwa mtazamo wangu, Hamad Rashid ana haki ya kupinga mahakamani kufukuzwa kwake kwenye chama. Akirejeshewa uanachama ndipo anaweza kuamua kujiondoa kwenye CUF, na hiyo itamjengea heshima zaidi kuliko kufukuzwa. Tuhuma zilizosababisha kufukuzwa kwake hazina uzito kivile. Naona zaidi ni uhuni tu uliofanywa na Maalim Seif na wafuasi wake. Viongozi wetu wajifunze kuwa wavumilivu wanapokosolewa. Kwa hili namuunga mkono Hamad Rashid, japokuwa huwa sikubaliani na baadhi ya misimamo yake kwenye masuala mengine.
sawa ila SEIF ni tatizo kwa nini kawafukuza James and Jidawi ambao wanatofautiana na yeye?Anaweweseka tu.
Kumbuka CUF siku zote wakivunja basi hawajengi tena pale.awaulize akina Mapalala au Bi Naila jidawi watamjuza hilo.
Anachotaka Hamad ni kuhakikisha kwamba anawakomoa akina Seif. Anataka kuhakikisha kwamba CUF inaingia kaburini wakati inajifungua mtoto wa CCM, ambae ni chama chake. Mmemwaga mboga, yeye anamwaga Ugali! Nyambaf!!!!Anaweweseka tu.
Kumbuka CUF siku zote wakivunja basi hawajengi tena pale.awaulize akina Mapalala au Bi Naila jidawi watamjuza hilo.
Kwani ni kosa kisheria kuchangia mada?
wakola kusiima
Ivi Bi Naila alirudi CCM vile au? sijamsikia siku nyingi kweli huyu mamaAnaweweseka tu.
Kumbuka CUF siku zote wakivunja basi hawajengi tena pale.awaulize akina Mapalala au Bi Naila jidawi watamjuza hilo.