Hamad, Cheyo, Mrema: WanaCCM ndani ya Upinzani...

kuna kipindi mrema a kweli alikuwa ni mbunge wa waanchi but this term ni mbunge wa Pension yake. Ndio ujue binadamu wte si sawa wengi wana staaf kwa kwenda vijijini wengine wanapokea pension huku wajidali bajeti bila kujua wachangie nini . This time mrema ni katika wale wabunge pensioners
 
common sense is not common

sio lazima kila mtu amchukie au kumpinga jk

inawezekana wapo watu hawaoni ubaya wa jk
tuheshimu mawazo yao pia
 
Jamani hebu nisaidieni huyu bwana mrema kweli bado thinking na reasoning capacity yake ina function? mie simuelewi ni mbunge au ni mpiga debe wa JK? angekuwa gari huyu lingekuwa juu ya mawe! na kama angekuwa nguo basi lingekuwa dekio! hafai kiuongozi huyu labda wampe ukamanda wa sungusungu huko kwao kiraracha.
Kwani amefanyaje tena? Yule baba kachoka, anamagamba kama chatu duh! Ila sometimes lina hoja!
 
tumheshimu pia alchangamsha kiogo upinzani (enzi hizo N mageuzi) sasa anatibu ukwasi uliokuwa umemsheheni hana lake(ndio mzee).
 
@mkute.
Kweli nimeamini kuzaa si kazi bali kulea hadi mtoto akue akiwa sawa kichwani ni tough call.sikulaumu wewe ni wazazi wako
 
Kichwa kina matatizo siku nyingi na kikwete anajua ndio maana wamepigania kumpa kamati. Tanzania inategema kutafuta ufumbuzi wa matatizo ya rushwa serikalini na unamweka Mrema katika hali yake namna hii, what next Ridhiwan atapewa ambassador UK?
 
Acha dharau wewe! Mrema bado anatisha tu ila tatizo kisukari kinamstmbua .Inge kuwa ni babako ungekuja kuandika haya uliyoandika? Hata kama kwako kashaisha bado he deserves respect acha ushabiki usiokuwa na maana.
 
Nzee lyatonga yuko kwenye fainali ya uzee. anatetea marurupu yake binafi, Ni kweli mrema ni mchapa kazi. Lakini njaa ni hatari sana. There is nothing rational that can come out of sick mind.
 
Acha dharau wewe! Mrema bado anatisha tu ila tatizo kisukari kinamstmbua .Inge kuwa ni babako ungekuja kuandika haya uliyoandika? Hata kama kwako kashaisha bado he deserves respect acha ushabiki usiokuwa na maana.

Nilipo RED.

Si alikwenda samunge kwa babu kupata kikombe!! au hakufanikiwa kupona?
 
wewe unasema mrema je mwenyekiti wangu DEVOTA FAHMU aah sorry dovutwa!
 
02.jpg
mrema%5B1%5D.JPG


Mwenyekiti wa chama cha Tanzania Labor (TLP) Augustine Lyatonga Mrema, amesema kamwe hawezi kujiuzulu ndani ya chama hicho kwa tuhuma za watu aliowaita wahuni.

Akizungumza kwa simu Mrema alisema hawezi kujiuzulu na kwamba,wanaomshinikiza ni wazushi na wahuni. Hatua hiyo inatokana na kutokea mfarakano ndani ya chama hicho baada ya baadhi ya viongozi kumtaka ajiuzulu,kutokana na kushindwa kujenga TLP na muda mwingi kujikita kuhudhuria kamati ya bunge ya hesabu za serikali (LAAC).

Mrema alisema hawezi kukiacha chama barabarani,kwani wanaomlalamika hawana uwezo wakugombea uongozi wowote,lakini kwa uwezo wake amepata ubunge. Alisema watu wanaolalamika ndani ya TLP ndio wenye makosa na kwamba, wao wavue magamba. Mrema alisema chama hicho kitatoa taarifa ya kutaja viongozi ambao wanatakiwa kujivua gamba,ambao walisababisha kishindwe uchaguzi mkuu mwaka jana.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom