Hamad, Cheyo, Mrema: WanaCCM ndani ya Upinzani...

Hamad, Cheyo, Mrema: WanaCCM ndani ya Upinzani...

niweze

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2009
Posts
1,008
Reaction score
118
CUF, UDP na TLP wanataka pesa za Dowans. Kwanini Wananchi hawakuachagua Wabunge wengi toka hivi vyama? (Chadema viti = 70) Wananchi walishashtuka na kambi za kupandikiza za CCM na kujiita "upinzani" Yaliotokea Bungeni na Yanayoendelea Bungeni imedhiirsha wazi njaa ya pesa, madaraka na ugandamizaji wa wachache Afrika. Hii play book ya Hamad, Cheyo na Mrema imetoka hizi nchi za Africa na Wananchi ndio watakao umizwa. Wakati wananchi wanakikataa chama cha mafisadi wengine wanajiunga. Kinacho wasukuma CUF kushikirikiana na CCM ni nini? Huko Zanzibar CUF kafunga ndoa na mwenzi wake CCM na wanalazimisha Chadema kufunga ndoa na CCM....Hii haitatokea kamwe. Upungufu wa uongozi CUF na poor vision ya Taifa ndivyo vinawasumbua CUF, tutaona watakapo galagala chini na CCM yao...Umaskini wa mawazo na ubinafsi ndizo fitina za hawa viongozi wa upe (CUF, TLP na UDP). Habari tulizonazo toka Tanzania, wananchi wameshaona ushirikina wao na ushetani wao. Chadema ndicho chama cha Watanzania na hakitakufa kamwe.

"Vita vya Dowans - Rostam sasa Tunaunganisha CUF, TLP na UDP"
 
CUF,NCCR,TLP,UDP hivi mnaliona bomu mlilolikalia msije sema hatukuwaambia ama kweli vita vya panzi furaha ya kunguru fisadi(CCM) na kwa taarifa yenu msifikiri wananchi wamewaunga mkono mnajichimbia kaburi.Bado kambi yenu ni kambi rasmi ya CCM.Toka lini CCM akawa rafiki wa upinzani....kichekesho..fisi/chui kuwa best man kwenye harusi ya swala.
 
Mimi naona MH Mrema katumwa na Jk.

Waliwekeza kwa huyu bwana bila kutambuwa kuwa hali ilishabadilika. Wananchi wa leo sio wa miaka ya 1995! Wanatambua mamluki na wanasiasa wa kweli. Mbinu za kizamani sana na inadhihirisha ni kwa jinsi gani wakubwa hawa wamefilisika kisiasa.
 
Kafanya nini? Maelezo yako hayajitoshelezi!
 
Mkuu
Fahamu kwamba jamvi hili linapitiwa na watu wengi sana ndani na nje ya nchi. kwa hiyo usifikili kila mtu anaangalia Mbugeni
kama unavyodhania.

Vry sorry. Sijajibu kwa ubaya, nilijibu kwa haraka ili kama alyeuliza swal yupo karb na tv basi aangalie knachoendelea. Nasikitika cz mawazo hayakwenda mbali kiasi hcho, nimefikiria karb zaid. Sorry again.
 
Mrema kesha choka amebakiza term hii na atakwenda marangu kulima,hana mvuto tenaaaa!!!!!
 
vipi kamwaga pumba gani huko! Ebu tujuzeni kwa kifupi.

kwa kifupi ni kwamba mrema ameamua kuisha na chadema, kakilaumu sana chadema kwamba kinapanga kumuondoa kikwete madarakani kabla ya wakati wake na vilevile kasema chadema wana andamana kila siku. Alikua akichangia mjadala ghafula katoka kwenye mjadala kaanza kukuraumu sana chadema kwamba kimuache jk amalize mda wake.

anadai yeye alikua maalufu sana na hakusubutu kutaka kumuondoa mkapa madarakani au kuandamana. Kwa kifupi ndo hivyo
 
Jamani hebu nisaidieni huyu bwana mrema kweli bado thinking na reasoning capacity yake ina function? mie simuelewi ni mbunge au ni mpiga debe wa JK? angekuwa gari huyu lingekuwa juu ya mawe!
 
Jamani hebu nisaidieni huyu bwana mrema kweli bado thinking na reasoning capacity yake ina function? mie simuelewi ni mbunge au ni mpiga debe wa JK? angekuwa gari huyu lingekuwa juu ya mawe! na kama angekuwa nguo basi lingekuwa dekio! hafai kiuongozi huyu labda wampe ukamanda wa sungusungu huko kwao kiraracha.
 
hata ukamanda wa sungusungu kwa sasa hawezi, ila upande mwingine wa kumhurumia , atakuwa akili yake imechanganyikana na maji taka
 
huyo mbona ni mwehu siku nyingi tu,..waislam walimsomea albadiri akadhani masihara kumbe ilimkaanga kweli..albadir noma,..na kwenye kamati yake ya bunge sijui kama hakupokea rushwa..ule mkwara wa rombo ulikuwa kuwaweka sawa wakurugenzi wengine walipotishe milungura,..ccm wanalipa fadhira
 
Kaka info vizur wengine vyombo habar ni tatizo kafanyeje tena?
 
Kaka 2pe info vizur wengine vyombo habar ni tatizo kafanyeje tena?
 
Back
Top Bottom