moses musa
Senior Member
- Apr 25, 2017
- 164
- 97
Toka lini wachina wakaacha utapeli?Mbaya zaidi hukiwapigia kupitia customer's care hakuna connection. mawasiliano yanakatika tu. Walikuja vizuri lkn wanakoelekea iyawagarimu sana.
Hamuulizi mawakala wenu jinsi ya kujiunga vifulushi,pia internet ya baadhi ya siyo automatic, so INA bidi uzijue access point, zakeYaani hapa nimetoka kununua line ya mtandao mwingine yenye 4G
The good thing ni kwamba huwa natumia halotel kwa Internet tu ila whtsup namba inayo apper ni ya kampuni nyingine ambayo haioko vizuri upande wa net
Sasa jana Nilijiunga kifuruchi cha mwanachuo cha halotel kila nikibrowse hamna kitu kucheki salio la kifuruchi ziro yaani ni kitendo cha dakika hiyo hiyo
Nikasema poa watuwanalalamikaga kuhusu huu mtandao labda leo zamu yangu kuibiwa nikaona mia tano sio issue nikajiunga tena vilevile
Nikachomoa li laini sijui nimelitupa wapi na nilikua nachat niko katikati ya maongezi sijamind vi mia tano namaindi usumbufu
SITAKI KUSIKIA IYO KITU-HALOTEL
Nakuiba bundleTCRA wanakula nao, wamekuwa matapeli haswa kuanzia mwezi wa 2 mwaka huu.
Wanaiba sanaKwenye mb ndiyo utafurahi na roho yako
Ni Mara kadhaa Sasa nikiingiza Salio kuanzia 1000 na kuendelea wanakata Salio langu na kusema limelipwa deni. Wakati sijawahi kukopa hata siku moja ktk mtandao wa halotel.
Leo nimeingiza Salio la 1500 nimekatwa Nasema hawa jamaa hawako makini na kazi zao wasidhani huu ni ulimwengu ule kipindi mtandao ya simu inaanza.
Nitaambatanisha hapa SMS zao walizokata pesa wanaonesha muda niliokopa ni usiku wakati simu Yangu automatically inajizima SAA tano kamili usiku na kujifungua SAA kumi na mbili kamili asubuhi kila siku. Ndio maana Nasema hai ni wezi maana huo muda Mimi nakuwa tayari nilisha lala.
SMS zao ni hizo ;
(PATASALIO)
Akiba yako imekatwa kiasi cha Tsh 500 kwa malipo ya mkopo, tarehe 2017/02/04 00:43:35. Deni ni Tsh 600. Ahsante!
(PATASALIO)
Akiba yako imekatwa kiasi cha Tsh 51 kwa malipo ya mkopo, tarehe 2017/02/04 00:43:35. Deni ni Tsh 549. Ahsante!
mmetumwa na mitandao mengne nyny si bure
Labda wanawaibia ili waweze kupata Pesa za kuendeshea Kesi yao inayowakabili baada ya Mabosi wao kukamatwa.
Mkuu HaloTel hawana kesi yoyote mahakamani, watuhumiwa wanatoka Kampuni nyingine kabisa - kampuni hiyo ya kitapeli ndiyo ilikuwa inatumia SIM cards za HaloTel kufanya udanganyifu.
Laini natumia kila siku sio kwamba ni mpyaHamuulizi mawakala wenu jinsi ya kujiunga vifulushi,pia internet ya baadhi ya siyo automatic, so INA bidi uzijue access point, zake
Hamuulizi mawakala wenu jinsi ya kujiunga vifulushi,pia internet ya baadhi ya siyo automatic, so INA bidi uzijue access point, zake
Ipo siku utakuja lalamika kama wenzioHalotel Ni mtandao ulio bora kuliko yote Tanzania ( according to me)
YapuNakuiba bundle