Halotel wanawaibia wateja

Nawe unafikiri ni vichaa?kagua vizuri una deni au umeshajiunga na pata Salio automatically, Fanya HV,tuma SMS OFF,Kwenda,14963
 
Internet halotel.call air tel.nimemaliza.
Halotel mizinguo ila internet poa.
 
Hamuulizi mawakala wenu jinsi ya kujiunga vifulushi,pia internet ya baadhi ya siyo automatic, so INA bidi uzijue access point, zake
 
Halotel waliniibia kifurushi changu cha internet kisicho na kikomo cha mwezi, eti baada ya Siku 4 naambiwa kimeisha. Kimeishaje wakati hakina limit ya mb? Mwisho wake ni siku 30. Niliwasha moto mpaka kikarudishwa. Na sitaki tena kusikia kitu inaitwa halotel.
 

Labda wanawaibia ili waweze kupata Pesa za kuendeshea Kesi yao inayowakabili baada ya Mabosi wao kukamatwa.
 
mmetumwa na mitandao mengne nyny si bure

Well said mkuu, WaVietNam watakuwa na shida gani kuwaiibia waswahili - tusitake kuwasingia bila sababu - Watanzania wakati mwingine tunakuwa wazushi sana - mfano mwezi uliopita watu walidai eti haloTel imefunga mitambo ya kupwepa kulipa kodi stahiki eti Mkurugenzi mkuu wa Halotel alishirikiana na Wapakistani kutekeleza wizi huo - baadae ikaja gudurika kwamba HaloTel ahusiki a ujinga huo ni kampuni nyingine kabisa ndiyo ilikuwa inatumia SIM cards za haloTel kufanya udanganyifu.
 
Labda wanawaibia ili waweze kupata Pesa za kuendeshea Kesi yao inayowakabili baada ya Mabosi wao kukamatwa.

Mkuu HaloTel hawana kesi yoyote mahakamani, watuhumiwa wanatoka Kampuni nyingine kabisa - kampuni hiyo ya kitapeli ndiyo ilikuwa inatumia SIM cards za HaloTel kufanya udanganyifu.
 
Mkuu HaloTel hawana kesi yoyote mahakamani, watuhumiwa wanatoka Kampuni nyingine kabisa - kampuni hiyo ya kitapeli ndiyo ilikuwa inatumia SIM cards za HaloTel kufanya udanganyifu.

Wanakulipa Tsh ngapi kuwatetea na kupindisha ukweli uliopo juu ya Utapeli wa HALOTEL? Kwahiyo zile taarifa zote za Media za Tanzania hadi na tukaonyeshwa na Video zao walivyokuwa wanapelekwa Mahakamani sisi Watanzania tulilishwa matango pori?
 
Watakuwa wamefundishwa wizi na waliowakuta ktk soko, mwanzoni walikuwa honest, sasa wamegeuka genge la wahuni.
 
Hamuulizi mawakala wenu jinsi ya kujiunga vifulushi,pia internet ya baadhi ya siyo automatic, so INA bidi uzijue access point, zake
Laini natumia kila siku sio kwamba ni mpya
ok let us say ni line mpya utashindwaje kujua kujiunga kifurushi wakati unapata confirmation inayokwambia umejiunga na kifurushi kadha wa kadha umepata mb kadha mpaka tarehe kadha

Na huwezi kupata kupata Internet bila APN mbona ni hata ya mwanzo kabisa kama simu ni mpya?
Hamuulizi mawakala wenu jinsi ya kujiunga vifulushi,pia internet ya baadhi ya siyo automatic, so INA bidi uzijue access point, zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…