Halotel waja kivingine

Kibumbula

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2018
Posts
3,690
Reaction score
3,382
Kwa kupitia menu yao ya halopesa,yaani *150*88#,kisha namba 3 yenye vocha na vifurushi,kisha namba 2 yenye mega bando, halotel wanakupa mb 500 na dkt 50 kwa siku kwa sh500,1gb na dk 100 kwa wiki kwa sh 1000 na gb 15 kwa mwezi kwa sh10000.Ahsante Halotel.Mkombozi wa mawasiliano vijijini.
 
Hii angalau itanishawishi nitumie halotel
 
Ngoja nikajitafutie laini yao chap....huku Tigo na Voda ni magumashi tu
 
Upo sehemu gani mpaka network ya halotel inakuwa mbovu maana mi naendaga hadi vijijini huko na ngoma inasoma 3g na kwa speed nzuri tu
hapa ipo 2g.
Niliwauliza habari ya 3g wakasema hawajawasha kitambi ya 3g maana watumiaji sio wengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…