Traveller_mona
Member
- Jan 11, 2019
- 94
- 161
Heshima kwenu wakuu......!!
Binafsi nimekuwa mtumiaji mzuri wa mtandao wa halotel wa mda mrefu tangu ulipoanzishwa kwa hapa kwetu Tanzania mwanzoni tulifurahia huduma ila kipindi hiki sijui mnakwama wapi ,unakuta line yako ina bando lakini haulitumii kila ukihitaji kufanya mambo yako line yako inafail.
Kingine halotel mnapokwama hivi inakauje laini tusha confirm kwa alama za vidole lakini mnaifungia line mpaka mthibitishe tena.
uongozi wa huu mtandao embu tunaomba mtutalie hii changamoto haiwezekani line ina bando ila mnampangia mtu mda wa kutumia bando lake.
Wakuu jioni njema bhana.....!!!
Binafsi nimekuwa mtumiaji mzuri wa mtandao wa halotel wa mda mrefu tangu ulipoanzishwa kwa hapa kwetu Tanzania mwanzoni tulifurahia huduma ila kipindi hiki sijui mnakwama wapi ,unakuta line yako ina bando lakini haulitumii kila ukihitaji kufanya mambo yako line yako inafail.
Kingine halotel mnapokwama hivi inakauje laini tusha confirm kwa alama za vidole lakini mnaifungia line mpaka mthibitishe tena.
uongozi wa huu mtandao embu tunaomba mtutalie hii changamoto haiwezekani line ina bando ila mnampangia mtu mda wa kutumia bando lake.
Wakuu jioni njema bhana.....!!!