Halotel baada ya kusifiwa kua na huduma nzuri lakini saizi ni tofauti kabisa spidi yao ya intanet imepungua sana afu wanakula Mb unaweza sema simu imetoboka znavujia chini mwanzo Mb 600 nilikua natumia hata kwa siku 3 lakini saizi hata masaa 24 hazimalizi muda sio mrefu natupa line lenu maana nilinunua kwa ajili ya Mb
Kweli halotel wamekua hawaeleweki maana hadi nashang'aa maana bundle zinateketea siku moja tu. Halafu wanakuambia kuna data za kutumia usiku sijui usiku wa saa ngapi?
TukiaChana na mambo ya MB sijui nn Halotel wamepenya mpaka vijijin ndani ndani hukoo. Kushinda mitandao ya kina Manjji. Asieongea na "umbwa" by the way hivi wale mawakili wake toka UK bado wapo? Anko Shikamooo.
Jamani naomba kujua naongea vipi na wahudumu wa halotel. Juzi nimeweka elfu 2000,nikakaa dakika 10 hivi ile nataka kujiunga naambiwa sina Salio la kutoka,Ku check nimekatwa 1625. Duh!!!nikapiga 100 sikuwapata aisee Nina hasira nao hawa mbwa
Jamani naomba kujua naongea vipi na wahudumu wa halotel. Juzi nimeweka elfu 2000,nikakaa dakika 10 hivi ile nataka kujiunga naambiwa sina Salio la kutoka,Ku check nimekatwa 1625. Duh!!!nikapiga 100 sikuwapata aisee Nina hasira nao hawa mbwa