Halotel mnatuibia wateja wenu

pole nilijua peke yangu
 
Kweli halotel wamekua hawaeleweki maana hadi nashang'aa maana bundle zinateketea siku moja tu. Halafu wanakuambia kuna data za kutumia usiku sijui usiku wa saa ngapi?
 
Ni wakat sasa SUMMA JKKKT kuanzisha kampuni ya Simu kama Halotel
 
TukiaChana na mambo ya MB sijui nn Halotel wamepenya mpaka vijijin ndani ndani hukoo. Kushinda mitandao ya kina Manjji. Asieongea na "umbwa" by the way hivi wale mawakili wake toka UK bado wapo? Anko Shikamooo.
 
Jamani naomba kujua naongea vipi na wahudumu wa halotel. Juzi nimeweka elfu 2000,nikakaa dakika 10 hivi ile nataka kujiunga naambiwa sina Salio la kutoka,Ku check nimekatwa 1625. Duh!!!nikapiga 100 sikuwapata aisee Nina hasira nao hawa mbwa
 
Jamani naomba kujua naongea vipi na wahudumu wa halotel. Juzi nimeweka elfu 2000,nikakaa dakika 10 hivi ile nataka kujiunga naambiwa sina Salio la kutoka,Ku check nimekatwa 1625. Duh!!!nikapiga 100 sikuwapata aisee Nina hasira nao hawa mbwa
Don't top up your voucher while data connection is on!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…