Halotel niliwapenda sana nikawatetea sana lakini wamekua wapuuzi sana. Na line nimeweka kwenye begi nimehamia airtel nao tatizo mtandao upo slow mpaka kero, Ttcl wapo vizuri lakini mpaka uwe town huku tabata kwetu nao hata mtandao haupandi dah.. Nimeamua kujikongoja na airtel tutafika tu.
Xmass Boy.