lindunduru
JF-Expert Member
- Aug 2, 2015
- 392
- 551
Habari ya jumapili ndugu zangu wana jamvi, na hongereni kwa sikuku ya kubebika, endelea kudeka kama unadekezwa
Narudi kwenye hoja ni hivi mimi nina hizo line zote tajwa hapo juu, huwa napenda kuunga kifurushi cha mwezi mzima,, Changamoto ya hiyo mitandao mingine isipokuwa halotel iko hapa
Kifurushi unachochagua wanasema ni cha mitandao yote, ila ukishaunga unga unakuta wanakwambia dakika 500.
Mitandao yote halafu zilizobaki kama 600 ni kuelekea mtandao husika, maswali yangu:
1) Kwanini mnaudanganya umma kuwa ni mitandao yote wakati siyo hivyo?
2) Mzazi wangu aliko kuna halotel tu,na mke wangu aliko kuna tigo tu, sasa nikiunga kifurushi cha mitandao yote airtel kwa ajili ya kuongea hasa na vipenzi wangu hao,kwake nini mnipe masharti wakati wakati ni uzembe wenu kutopeleka mitandao yenu kule?
Mnazingua sana, kuanzia leo naanza kuwashawishi watu kama mitandao yote tumieni halotel ndo wakweli.
Happy valentines ndugu zangu.
Narudi kwenye hoja ni hivi mimi nina hizo line zote tajwa hapo juu, huwa napenda kuunga kifurushi cha mwezi mzima,, Changamoto ya hiyo mitandao mingine isipokuwa halotel iko hapa
Kifurushi unachochagua wanasema ni cha mitandao yote, ila ukishaunga unga unakuta wanakwambia dakika 500.
Mitandao yote halafu zilizobaki kama 600 ni kuelekea mtandao husika, maswali yangu:
1) Kwanini mnaudanganya umma kuwa ni mitandao yote wakati siyo hivyo?
2) Mzazi wangu aliko kuna halotel tu,na mke wangu aliko kuna tigo tu, sasa nikiunga kifurushi cha mitandao yote airtel kwa ajili ya kuongea hasa na vipenzi wangu hao,kwake nini mnipe masharti wakati wakati ni uzembe wenu kutopeleka mitandao yenu kule?
Mnazingua sana, kuanzia leo naanza kuwashawishi watu kama mitandao yote tumieni halotel ndo wakweli.
Happy valentines ndugu zangu.