Halmashauri zitoze Kodi Makaburi

Halmashauri zitoze Kodi Makaburi

Lengo lake liwe nini yaan kupunguza watu kuzika watu ili ardhi ipatikane au kuongeza mapato? Nyongeza tu halmashauri haiwez kuanza kutoza kodi makaburi kutokana exemption ya makaburi kikodi ipo kisheria kifungu cha saba cha sheria ya Urban authority rating Act ya mwaka 1983
 
Miaka ya nyuma sana, Mikoa fulani nilikuwa na projects za kuanzisha kumpuni ya kuhifadhi Maiti au kuzika Maiti/Bima ya kifo.

Kutokana na mizizi ya ujamaa iliyo jichimbia chini, ikabidi niweke kando project hiyo .

Ungeweka mawazo hayo au yamfanano huo ningelikuunga mkono .
 
Baada ya CAG kuwambua kwa wizi sasa mumeanza kuwaza kutafuta laana kwa kuanza kuwatoza kodi marehemu ili nao muwaibie.
 
Mm naona kusiwe na makaburi, watu wakifa wachomwe moto, maeneo ya makaburi yafanyiwe uwekezaji
 
Mm naona kusiwe na makaburi, watu wakifa wachomwe moto, maeneo ya makaburi yafanyiwe uwekezaji
Tumeshindwa uwekezaji basic..unataka tukimbilie kuchoma maiti...Kuna rasilimali nyingi sana tunaweza kutumia kuinvest...Tanzania Bado ina Ardhi kubwa sana ambayo Haina matumizi
 
Back
Top Bottom