Halmashauri zitoze Kodi Makaburi

Halmashauri zitoze Kodi Makaburi

Tumeshindwa uwekezaji basic..unataka tukimbilie kuchoma maiti...Kuna rasilimali nyingi sana tunaweza kutumia kuinvest...Tanzania Bado ina Ardhi kubwa sana ambayo Haina matumizi
Hy ardhi kubwa isiyo na matumizi n huko kijijini, Mm nasemea maeneo ya makaburi yaliyopo mjini
 
Ili kuongeza wingi wa Kodi nchini. TAMISEMI kupitia Halmashauri za Majiji, miji na manispaa zianzishe Kodi ya Makaburi kwa kila anayezikwa kwenye Makaburi rasmi
Wewe bila shaka utakuwa demu wake na Madelu maana naona umemuibia idea yake ya chanzo kipya cha mapato mwaka ujao wa fedha mkiwa gesti
 
Back
Top Bottom