Halmashauri zitakazokuwa chini ya UKAWA

Halmashauri zitakazokuwa chini ya UKAWA

Siku za uchaguzi madiwani wa ukawa wanaweza wasipate barua za kikao,au wakapelekewa muda mfupi kabla ya uchaguzi,au wakawekewa bangi mfukoni ili wakamatwe ns kuswekwa lupango,au wakaleweshwa kwa madawa ya kulevya ili wasipige kura na vitimbi vingi vinavyofanana na hivyo.muwe makini makamanda.
 
Nafikiri baraza la madiwani linauwezo wa kumkataa mkurugenzi au kutoshirikiana naye.
Naam, ni kweli hayo yameshatokea mara nyingi na sii kwa Halmashauri za upinzani pekee bali zote. Na linapotokea hilo ujue tayari ni mgogoro huo. Na mara nyingi Waziri aliyemteua huwa anaingilia kati kumtetea sana Mkurugenzi "wake" ili asiondolewe. Migogoro hiyo ndio kikwazo cha maendeleo.
 
Siku za uchaguzi madiwani wa ukawa wanaweza wasipate barua za kikao,au wakapelekewa muda mfupi kabla ya uchaguzi,au wakawekewa bangi mfukoni ili wakamatwe ns kuswekwa lupango,au wakaleweshwa kwa madawa ya kulevya ili wasipige kura na vitimbi vingi vinavyofanana na hivyo.muwe makini makamanda.

UKAWA mnaishi kwa assumptions tu, ulofa ni shida.
 
Fanya masahihisho: jimbo la Kyerwa CDM kata 13 CCM kata 11. Waliaamua kijitangazia Mbunge kwa mtutu wa bunduki hivyo wana viti 12. Zipo mbinu za siasa maji taka waipate halmshauri kwakuwa matajiri wachache jimbo hilo wamewekeza kupitia huko...tunawatahadharisha wasijaribu. Si kwamba hatuumii kuona walivyofanya kiti cha ubunge....ila tunaamini mahakama itatenda haki....
 
Siku za uchaguzi madiwani wa ukawa wanaweza wasipate barua za kikao,au wakapelekewa muda mfupi kabla ya uchaguzi,au wakawekewa bangi mfukoni ili wakamatwe ns kuswekwa lupango,au wakaleweshwa kwa madawa ya kulevya ili wasipige kura na vitimbi vingi vinavyofanana na hivyo.muwe makini makamanda.

Hiyo ni kweli kabisa Mkuu, itabidi UKAWA wawe macho sana na mbinu chafu za ma-ccm. Ila kwa halmashauri nyingi wakitumia mbinu chafu hazitafanikiwa maana wakijidai kualika ma-ccm peke yake akidi haitatimia hivyo lazima magamba wakae!!
 
Fanya masahihisho: jimbo la Kyerwa CDM kata 13 CCM kata 11. Waliaamua kijitangazia Mbunge kwa mtutu wa bunduki hivyo wana viti 12. Zipo mbinu za siasa maji taka waipate halmshauri kwakuwa matajiri wachache jimbo hilo wamewekeza kupitia huko...tunawatahadharisha wasijaribu. Si kwamba hatuumii kuona walivyofanya kiti cha ubunge....ila tunaamini mahakama itatenda haki....

Kumbuka waziri mwenye dhamana na serikali za mitaa ana nafasi ya kuteua wajumbe 3-5 kujoin hzo halmashaurı.Kwa hyo wenye tofautı ya madiwani 2 au 3,wasahau.Wengne pia watanunuliwa.
 
Mtwara manispaaa CDM vit 11 CCM 7.

Hapana, Mtwara mjini(Manispaa ya Mtwara Mikindani) siyo CDM, bali ni CUF na CDM. Ni kweli wamepata kata nyingi kwa Umoja wao ila siyo CDM peke yao. Nilitka kuweka kumbukumbu sawa sawa. Hivyo ni UKAWA(11) 9, CCM-5. Kwenye mabano sina hakika sana!
 
Mwenyedata za dar atuwekee tafadhali, maana najua ccm hawatakubali kamwe manispaa za dar kuhodhiwa na wapinzani, watafanya kila mbinu kulirudisha jiji mikononi mwao kama walivyofanya mwanza mwaka 2010
 
Miji mingi iko ovyo ovyo huu utakuwa mwanzo wa kujichafua kwa ukawa, tumeona maeneo ukawa walishinda serikali za mitaa ubunge na udiwani wananchi hawakutaka hata kuwaona.
 
Kuna mwenye idadi halisi ya halmashauri zitakazo ongozwa na upinzani.
Hadi sasa hizi ni baadhi ya Halmashauri ambazo ni likely kuwa chini ya Ukawa(Masahihisho yanaruhusiwa)
Hivi kuna halmashauri ngp vile ile tpate ratio ya chama kipi kinaongoza halmashauri nyingi. Lol

1. Bukoba mjini UKAWA 9 CCM 5
2. Arush mjini UKAWA 24 CCM 1
3. Arumeru magharibi
4. Arumeru mashariki
5. Monduli
6. Halmashauri ya mji wa Babati
7. Simanjiro
8. Longido
9. Loliondo
10. Halmashauri ya Moshi UKAWA 27 CCM 5
11. Halmashauri ya Manispaa ya Moshi UKAWA 20 CCM 2
12. Haimashauri rombo UKAWA 24 CCM 1
13. Mtwara mjini UKAWA 9 CCM 5
14. Lindi UKAWA 13 CCM 5
15. Kilombero
16. Ifakara
17. Halmashauri ya wilaya ya kyerwa UKAWA 10 CCM 7
18. Mtwara manispaa UKAWA 11 CCM 7
19. Halmashauri ya wilaya ya Kinondoni?
20. Halmashauri ya wilaya ya Temeke?
21. Halmashauri ya wilaya ya Ilala?
22. Halmashauri ya Serengeti UKAWA 18 CCM 12
23. Halmashauri ya hai
24. Halmashauri ya siha
25. Halmashauri ya karatu
26. Halmashauri ya manispaa ya Iringa UKAWA 14 CCM 4
27. Tanga mjini kwenye idadi ya kata pls.



================
Kuna halmashauri ngp tz ili tupate ratio ya cdm vs ccm kabla hatuja comment
 
Kumbuka waziri mwenye dhamana na serikali za mitaa ana nafasi ya kuteua wajumbe 3-5 kujoin hzo halmashaurı.Kwa hyo wenye tofautı ya madiwani 2 au 3,wasahau.Wengne pia watanunuliwa.

Asante....tutajipanga kwa hilo pia. Of course hakuna kitakachofanyika uvunguni kama walivyozoea...
 
sumbawanga municipal chadema kata 10 ccm 9 wataalamu watuambie mayor atatoka wapi kumbuka mbunge ni wa ccm na kisheria ni diwani
 
Back
Top Bottom