Halmashauri zitakazokuwa chini ya UKAWA

Halmashauri zitakazokuwa chini ya UKAWA

Kama Muungano ukiwa KUSH..NEY.....watu wa kanda watengeneze muungano wao.
 
Pia Arusha Mjini, Arumeru Magharibi, Monduli, Babati Mjini, Simanjiro, Longido, Loliondo
 
Baada ya kupata ushindi wa Kishindo katika jimbo la Serengeti yaani Ushindi wa Mbunge Mw. Marwa Ryoba na Madiwani 18 kati ya 30 watakao wawezesha kuunda Halmashauri kwa kupata Mwenyekiti kiti wa Halmashauri kutoka Chadema tangu Uhuru.

Nashauri wawe makini katika Uchaguzi wa Mwenyekiti na napendekeza awe Juma Porini kutoka Natta na Katibu wa Mbunge atoke Ngoreme.

Hii itawezesha mtandao wa Chedema kuenea katika kila kanda za Jimbo la Serengeti na kuhakikisha ushindi wa kishindo tena mwaka 2020.

NB.Kuweni macho sana na Mwenyekiti mstaafu msije mkajichanganya akachukua uenyekiti.
 
Baada ya kupata ushindi wa Kishindo katika jimbo la Serengeti yaani Ushindi wa Mbunge Mw. Marwa Ryoba na Madiwani 18 kati ya 30 watakao wawezesha kuunda Halmashauri kwa kupata Mwenyekiti kiti wa Halmashauri kutoka Chadema tangu Uhuru.
Nashauri wawe makini katika Uchaguzi wa Mwenyekiti na napendekeza awe Juma Porini kutoka Natta na Katibu wa Mbunge atoke Ngoreme. Hii itawezesha mtandao wa Chedema kuenea katika kila kanda za Jimbo la Serengeti na kuhakikisha ushindi wa kishindo tena mwaka 2020.
NB.Kuweni sana na Mwenyekiti mstaafu msije mkajichanganya akachukua uenyekiti.

Vipi kuhusu Maendeleo au una undugu nae huyo!
 
Kumbe Mbuga serengeti tumebaki nazo?. Sasa tumekomboa Manyara National park, na Tarangire bado Ngorongoro ili tuweze kukusanya mapato kea kuwaonyesha mfano watangulizi wetu
 
haya bana!!!!!

Kama unaishi Serengeti au unajamaa zako huko, tafuta namna ya kuyafikisha maono yako hayo kwa wahusika/viongozi wa jimbo/wilaya na hata mkoa waziwazi ukiwaonyesha nini sababu na umhimu wa kufanya hivyo. Asante kwa kuonyesha nia njema ktk kukuza mabadiliko.
 
pamoja na kwamba CCM wana madiwani wachache, M/kiti wa council aliyepita anafanya kila linalowezekana kukitetea kiti hicho (i hope unaelewa namaanisha nini) kwahiyo usishangae M/kiti akatoka CCM, in event mipango yake ika-fail yuko tayari kuachia nafasi hiyo kuliko kuongozwa na CHADEMA
 
Kama kungekuwa na Utaratibu kuwa Wakurugenzi wa Halmashauri za wilaya na miji wanaomba kazi kupitia Halmashauri hizo na Wanajadiliwa na Madiwani husika kabla ya ajira kwa manufaa ya Halmashauri zenyewe basi kwa vyovyote halmashauri hizi zilizo chini ya Vyama vya upinzani lazima zingepata maendeleo makubwa.
Tatizo mara nyingi hao Wakurugenzi wanateuliwa na Waziri na mara nyingi wanapelekwa kwenye halmashauri za upinzani wale wenye hulka ya kuweza kupambana na madiwani. Kwa maana hiyo hawaendi kufanya kazi za maendeleo bali kusudio ni mapambano. Umefika wakati sasa Halmashauri zipewe mamlaka ya kupata Wakurugenzi wake kwa vigezo vitakavyo wekwa na sio kuletewa majizi na wale wanaokuja na ajenda zao ikiwemo ile ya lazima "kumtoa Waziri Mkuu na waziri Tamisemi" kwa fungu maalum
 
Back
Top Bottom