Yesu sio wa msalabani bali aliwambwa msalabani ili watu wapate wokovu. Hata mie siungi mkono maombi ya makanisani kuwa na sauti kubwa kiasi cha kuwafikia wasiohusika nayo. Kwa wakati huu tulionao ni muhimu yakajengwa sound proof ili sauti iishie huko ndani kwa uhuru wao wa kuabudu.
Shida iko kwa wale wanaofunga spika kubwa juu ya nyumba zao za ibada na alfajiri "wanapiga" kelele eti kuwahimiza wenzao waje. Kwani hawajui wajibu wao? Kwa nini wasijifungie alarm huko kwao? Nao wanakera watu waliolala.
na misikiti je watawekaje soundproof kwenye horn speakers? misikiti haisumbui? kuna haja ya kupeana ushauri na kubalance maambo kabla ya uamuzi