pakamapepe
JF-Expert Member
- Jul 12, 2016
- 221
- 46
Tulia ulambishwe dawa!Chadema chama la misifa
Tulia ulambishwe dawa!Chadema chama la misifa
Kawaulize dodoma huko habar za ccmMbona mnatuchanganya???
huu ni mkopo wa 16/17 au 15/16???
Je hamjatafuta data za kiasi kilichotolewa na CCM katika taarifa za awali za jiji ??
Dont fool us with cheap popularity scams
Kama walivopewa jamaa zako wale pikipik utaratibu ni uleule tuWamepewa kina mama wangapi wa kata gani? Pamoja na vijana wa wapi? Na utaratibu wa kupata hiyo mikopo ni vipi kama sivyo usanii tu.
Ww hujitanbui,uccm umekujaa..habar ilioshiba ndio ipi??Sio mikoa mingine tu, weka habari iliyoshiba. Hayo mengine Je?
hawa jamaa wanapenda Sana KIKIKuna sehemu hii taarifa ikitanabaisha kuwa Mkuu wa mkoa Mrisho gambo ndiye katoa hii mikopo kumbe walikuwa washaigeuza hii taarifa duh !!
Rc Gambo amekabidhi hundi kwa Vikundi 125 kwa Vikundi vya Wanawake na Vijana
Mikopo hii inatolewa na Halmashauri kwa Mujibu wa Sheria na Utekelezaji wa Ilani lengo ni kuwainua wananwake na Vijana.
Sheria inaelekeza asilimia kumi ya Mapato ya Ndani itolewe Kama Mikopo kwa makundi hayo kwa riba ya asilimia 10 tu.
Hivyo Jiji la Arusha limetoa Tsh Mil 624 kwa kipindi cha Robo ya kwanza na Pili kwa Mwaka wa Fedha 2016/2017.
Utoaji wa Mikopo hiyo Sambamba na Mafunzo yametolewa Leo kwenye Ukumbi wa Arusha Sec na Mgeni Rasmi ambaye ndiye aliyekabidhi Hundi ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe Mrisho Gambo
Hakika sio Jambo Rahis baada ya kuminya Mianya yote ya posho holela walizokuwa wanajilipa. Madiwani wa Jiji fedha za Mikopo zimepatikana
Huna cha cha ku comment kaa kimya au nenda au nenda huko fbHivi wewe haujaguswa na suala la kupotea kwa BEN maana kila siku uNaleta umbeya humu....Ili hali msaidizi wa Mkuu wako ajulikani alipo...EBU SAIDIENI KUPAZA SAUTI HUYU KIJANA AONEKANE......
Mnasafiria nyota ya serikali ya JPM, hapo hamna cha chadema mmeamua tu kuteka ya JPM muonekane mnafanya la maana.hio ndio tanzania mpya tunayoihitaji hongera chadema arusha hongera uongozi wa chadema arusha inafaa kuigwa.
Zilikuwa zinatekeleza kwa kificho na hela kuliwaHalmashauri zote nchini zinatekeleza utaratibu huu hata kabla chadema hawajashika halmashauri za sasa.
Haya ndio mambo sasa tunayotaka kuyasikia.....
Hongera sana Meya wa Arusha na madiwani wote ...............
Mashindano yawe ya Maendeleo
Kwani gambo ana pesa zipi pimbi mkubwa wewe kibaraka kuosha vyoo Lumumba ulale buk7 itaishia kwenye mbChadema mna fedha zipi??....mna ilani ipi inayotekelezwa??hebu acheni sanaa zenu kuwahadaa wananchi
Katika ilani ya CCM nenda Kasome SURA YA TANO KUHUSU UWEZESHAJI WA WANANCHI angalia ukurasa wa 94 .Kifungu 63 kifungu kidogo D.
Mbona hii misaada haifikii walengwa husika nasikia tu bilioni .milioni na shida ziko pale paleHalimashauri ya jiji la Arusha imetoa jumla ya Tshs 624,000,000,00(624mil).Kati ya hizo 425mil kwa ajili ya wanawake na 199,mil kwa ajili ya Vijana.Hii ni awamu ya pili kwa Halmashauri kutoa mikopo kwa ajili ya vikundi mbalimbali.Mara ya kwanza jumla ya 405mil zilitolewa,hivyo jumla ya 1.24bil zimetolewa tangu Halmashauri hii iwe chini ya CHADEMA na hivyo kufanya halmashauri ya jiji la Arusha kuwa Halimashauri ya kwanza nchini tangu uhuru kutoa mikopo kwa vikundi vya vijana na wanawake.
Mikopo hii ambayo ni mapato ya ndani ya Halmashauri ambayo ni zaidi ya 1bil kila mwezi,sambamba na hilo Halmashauri imetoa mafunzo maalum kwa ajili ya matumizi bora ya fedha hizo.
Bado Halmashauri itaendelea kutoa mikopo hii kwa wananchi wote wa Jiji la Arusha.Natoa rai kwa wananchi wote kuunda vikundi ili waweze kufaidika na mikopo hii.
Hongera wananchi wa Arusha
Hongera Meya
Hongera madiwani wote
View attachment 453392 View attachment 453393 View attachment 453394