Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 65,798
- 156,930
Wamefeli kabla ya mtihaniCcm ina malengo mahususi na Arusha sio bure!
Wamefeli kabla ya mtihaniCcm ina malengo mahususi na Arusha sio bure!
Imekuuma sababu CCM alikuwa mnagawana wake wa Mawaziri na watoto waoHebu weka taarifa yako vizuri usiongeze mbwembwe ukawaponza watu bure.
Kawaida ni kwamba asilimia 10 ya mapato ya ndani ya halmashauri hutakiwa kwenda kukopesha vikundi vya kina mama na watoto.
Sasa hebu tutajie mapato ya jiji la Arusha kwa kipindi cha miaka miwili toka chadema iwe madarakani na utuonyeshe asilimia kumi yake ni kiasi gani halafu tulinganishe na hiko kiasi cha mikopo mlichokitoa kama ni sahihi au la....
Kama ni kidogo basi Mtuambie kingine kimeenda wapi.
Kama ni kingi basi mtueleze mmefuta miradi gani?
Pili ni vyema mkatuwekea list ya majina ya vikindi vilivyokopeshwa....isije ikawa ni vikundi vya madiwani!
Naona mnajifurahisha.Check za mkopo zimetolewa.na Halmashauri chini ya CDM. Walianza na Kinondoni, Leo Arusha kazi.ya Gambo ni kuweka watu jela,a subiri kuweka watu jela
Hivi kwenye escrow hawa chadema walipiga kiasi ganiMadiwani wa CHADEMA Arusha sasa katika kashfa ya posho – Raia Mwema
Asingekuwa Gambo hizi fedha za mikopo zingeishia mifukoni mwa madiwani
Asante Mh.diwaniMkuu wa mkoa alialikwa kufungua mafunzo,ya watakaonufaika na mikopo hiyo.Mikopo hii ni ya Halmashauri iliyopo chini ya baraza la madiwani wa CHADEMA
swali la maana mkuu...watekeleze hadi kagera mbona wanawafanya wanyambo na wahaya kama ni waganda vileHii ILANI inatekelezwa katika Jiji la Arusha tu mkuu??
Umeambiwa 16/17 hiyo 15/16 ni yakwakoMbona mnatuchanganya???
huu ni mkopo wa 16/17 au 15/16???
Je hamjatafuta data za kiasi kilichotolewa na CCM katika taarifa za awali za jiji ??
Dont fool us with cheap popularity scams
Haya maswali nenda ofisini kwa Mkurugenzi Athumani Kihamia ukaulize usituchoshe Hapa.Wamepewa kina mama wangapi wa kata gani? Pamoja na vijana wa wapi? Na utaratibu wa kupata hiyo mikopo ni vipi kama sivyo usanii tu.
Msaada haunaga riba mkuuFedha hizi zinatolewa kwa Mujibu wa Sheria na Riba yake ni asilimia kumi tu Hakuna zaidi lengo sio kufanya biashara Bali kusaidia Wananchi
Ukiisha weka riba maanayake ni biashara. Tofautisha kati ya Msaada na mkopo wenye riba. Huu sio msaada. Ndyo maana waliopewa ni wenyevigezo vya kurudisha pekeeFedha hizi zinatolewa kwa Mujibu wa Sheria na Riba yake ni asilimia kumi tu Hakuna zaidi lengo sio kufanya biashara Bali kusaidia Wananchi
Acha hizo bana kwan zile pikpik zilizogawiwa majina yaliletwa hum?Hebu weka taarifa yako vizuri usiongeze mbwembwe ukawaponza watu bure.
Kawaida ni kwamba asilimia 10 ya mapato ya ndani ya halmashauri hutakiwa kwenda kukopesha vikundi vya kina mama na watoto.
Sasa hebu tutajie mapato ya jiji la Arusha kwa kipindi cha miaka miwili toka chadema iwe madarakani na utuonyeshe asilimia kumi yake ni kiasi gani halafu tulinganishe na hiko kiasi cha mikopo mlichokitoa kama ni sahihi au la....
Kama ni kidogo basi Mtuambie kingine kimeenda wapi.
Kama ni kingi basi mtueleze mmefuta miradi gani?
Pili ni vyema mkatuwekea list ya majina ya vikindi vilivyokopeshwa....isije ikawa ni vikundi vya madiwani!
Rc Gambo amekabidhi hundi kwa Vikundi 125 kwa Vikundi vya Wanawake na Vijana
Mikopo hii inatolewa na Halmashauri kwa Mujibu wa Sheria na Utekelezaji wa Ilani lengo ni kuwainua wananwake na Vijana.
Sheria inaelekeza asilimia kumi ya Mapato ya Ndani itolewe Kama Mikopo kwa makundi hayo kwa riba ya asilimia 10 tu.
Hivyo Jiji la Arusha limetoa Tsh Mil 624 kwa kipindi cha Robo ya kwanza na Pili kwa Mwaka wa Fedha 2016/2017.
Utoaji wa Mikopo hiyo Sambamba na Mafunzo yametolewa Leo kwenye Ukumbi wa Arusha Sec na Mgeni Rasmi ambaye ndiye aliyekabidhi Hundi ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe Mrisho Gambo
Hakika sio Jambo Rahis baada ya kuminya Mianya yote ya posho holela walizokuwa wanajilipa. Madiwani wa Jiji fedha za Mikopo zimepatikana