jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Halmashauri zote mkuu...Hii ILANI inatekelezwa katika Jiji la Arusha tu mkuu??
Halmashauri zote mkuu...Hii ILANI inatekelezwa katika Jiji la Arusha tu mkuu??
Inataka jimbo la Arusha mjini.Ccm ina malengo mahususi na Arusha sio bure!
Mbona hatujaonaHalmashauri zote mkuu...
Maskini! Hata huelewi kitu dah.Katika ilani ya CCM nenda Kasome SURA YA TANO KUHUSU UWEZESHAJI WA WANANCHI angalia ukurasa wa 94 .Kifungu 63 kifungu kidogo D.
Heee nani ana huo muda wa kusoma iyo takatakaKatika ilani ya CCM nenda Kasome SURA YA TANO KUHUSU UWEZESHAJI WA WANANCHI angalia ukurasa wa 94 .Kifungu 63 kifungu kidogo D.
Kaulizie kinondoni!!Ili mjisifie kwa kutekeleza Ilani ya CCMMbona hatujaona
Bila hiyo Ilani hizo fedha zisingekuwepo...Nioneshe Ilani ya Chadema kwenye nyanja hiii if at all Chadema kama ina ilani.Heee nani ana huo muda wa kusoma iyo takataka
Mkuu mbona unapaniki tena wakati umeanza vizuri kunielewesha??Kaulizie kinondoni!!Ili mjisifie kwa kutekeleza Ilani ya CCM
Unajidanganya wewe. Hebu fatilia kama izo pesa zimetoka serikalini. Yani izo pesa utakuta za sacoss walikuwa na mpango wa kukopeshana sasa ili kutafta kiki wanajifanya kagawa gambo. Ni sawa na zile bodaboda. Uo mradi ulikuwepo muda mrefu sana sasa serikali imeuingilia.Madiwani wa CHADEMA Arusha sasa katika kashfa ya posho – Raia Mwema
Asingekuwa Gambo hizi fedha za mikopo zingeishia mifukoni mwa madiwani
mmeanza eh!Ccm ina malengo mahususi na Arusha sio bure!
Nikikujibu nitakuwa najishushia hadhi, maana sinaga tabia ya kujibizana na mashetani.Bila hiyo Ilani hizo fedha zisingekuwepo...Nioneshe Ilani ya Chadema kwenye nyanja hiii if at all Chadema kama ina ilani.
Mkuu lile zoezi lako la kuwawezesha shule , za msingi kwenye kata yako kupata uji bado linaendelea au ndio limekufa?Kasome sera ya uwezeshaji wa makundi maalum
Maigizo yale yale. Huyu ni mpiga dili. Ngoja tufatilie riba ya iyo mikopo. Kuna ujanja apa. Aligawa pikipiki za million mbili ila baada ya mwaka waliokopeshwa watalipa 2.9.
Katika ilani ya CCM nenda Kasome SURA YA TANO KUHUSU UWEZESHAJI WA WANANCHI angalia ukurasa wa 94 .Kifungu 63 kifungu kidogo D.
Naona mnajifurahisha.Check za mkopo zimetolewa.na Halmashauri chini ya CDM. Walianza na Kinondoni, Leo Arusha kazi.ya Gambo ni kuweka watu jela,a subiri kuweka watu jelaKatika ilani ya CCM nenda Kasome SURA YA TANO KUHUSU UWEZESHAJI WA WANANCHI angalia ukurasa wa 94 .Kifungu 63 kifungu kidogo D.
Unajidanganya wewe. Hebu fatilia kama izo pesa zimetoka serikalini. Yani izo pesa utakuta za sacoss walikuwa na mpango wa kukopeshana sasa ili kutafta kiki wanajifanya kagawa gambo. Ni sawa na zile bodaboda. Uo mradi ulikuwepo muda mrefu sana sasa serikali imeuingilia.
Hili lilitoka toka asubuhi ikimuonyesha Meya Kalist akiongea waongo hao CCM sana wanaziba walupoharibu baada ya kuweka Raia jela na RC kuwakatalia DhamanaUnajidanganya wewe. Hebu fatilia kama izo pesa zimetoka serikalini. Yani izo pesa utakuta za sacoss walikuwa na mpango wa kukopeshana sasa ili kutafta kiki wanajifanya kagawa gambo. Ni sawa na zile bodaboda. Uo mradi ulikuwepo muda mrefu sana sasa serikali imeuingilia.
Ni rahisi mbuzi mwenye kadi ya cdm kuchaguliwa kuliko mwanaccm kuukwaa ubunge ArushaGambo anatumia nguvu kubwa sana katika kuusaka Ubunge wa Arusha mjini, sujui kama atafanikiwa