Halmashauri Misungwi, inabebesha wananchi michango ya madawati hadi 60,000/= kwa kaya

Kkimondoa

JF-Expert Member
May 31, 2014
4,453
4,933
Wote tutakumbuka kuwa mh. Rais alisha toa agizo kuwa kila halmashauri ihakikishe kuwa hakuna mwanafunzi anakaa chini kwa kutumia mapato ya ndani lakini cha kushangaza halmashauri hii imemtupia mzigo huo mwananchi, wananchi wanadaiwa kulipa hadi 60,000/ kwa kaya.

Kitu ambacho kimechangia kwa sehemu kubwa wananchiwananchi kuichukia serikali hii na kuleta usumbufu mkubwa sana, tunaomba ufafanuzi katika hili ,jee rais alisema wachangie wananchi na watumish au mapato ya ndani ya halmashauri husika ndio yatumike kutengeneza madawati hayo? Maana imekuwa hadi kero kwakweli.
 
MTE="The Elephant, post: 16380157, member: 264936"]hapo ni kwa kitwanga[/QUOTE]
Ndio jimbo lake hilo suala hili limekuwa karaha kubwa sana kwa wananchi
 
Kweli tabia haina dawa.Yaani jamaa wanaendelea kuwafisidi wananchi bila aibu hata pamoja na kasi ya JPM ya kutumbua na kuambiwa elimu ni bure!Kazi kweli kweli.
Wote tutakumbuka kuwa mh. Rais alisha toa agizo kuwa kila halmashauri ihakikishe kuwa hakuna mwanafunzi anakaa chini kwa kutumia mapato ya ndani lakini cha kushangaza halmashauri hii imemtupia mzigo huo mwananchi, wananchi wanadaiwa kulipa hadi 60,000/ kwa kaya.

Kitu ambacho kimechangia kwa sehemu kubwa wananchiwananchi kuichukia serikali hii na kuleta usumbufu mkubwa sana, tunaomba ufafanuzi katika hili ,jee rais alisema wachangie wananchi na watumish au mapato ya ndani ya halmashauri husika ndio yatumike kutengeneza madawati hayo? Maana imekuwa hadi kero kwakweli.
 
Kweli tabia haina dawa.Yaani jamaa wanaendelea kuwafisidi wananchi bila aibu hata pamoja na kasi ya JPM ya kutumbua na kuamkila mwana nchi anaanachanangia 6000/ na zaid na vitisho vikiwemo vingi tu kwakweli elimu ni bure!Kazi kweli kweli.
Yaan hawasikii aisee wanawaandama sana wananchi kwa michango hiyo na kibaya zaid wameweka michango mikubwa sana ambayo ni ngumu sana kwa mwananchi kuchangia ,sehemu zingine kila
 
Back
Top Bottom