- Thread starter
- #61
Upuuzi mtupu.
Imekuchukua muda kweli kweli kuandika huo utopolo wa maneno mawili. Habari ndiyo hiyo. Bibi na bwana wakigombana nyumbani - mnaufyata!
Wenyewe sasa wanayajenga. Aibu!
Upuuzi mtupu.
2010 chama kilipata na wabunge wa majimbo,kilikalamika kuhusu rafu,2015pia kilipata na wabunge wa majimbo ndio maana walikwenda mjengoni.Kwanini hamjibu swali la Mdee?
Kwa nini 2010, 2015 wabunge wa viti maalum waende bungeni na 2020 wasiende?
Wacha nitumie muda mfupi basi. Upuuzi mtupu.
Joto lilikuwa kubwa mno. Hamna mtu ambae angewaelewa kama wangeahirisha kikao. Wahasimu wao wangepata nafasi ya kusema wameogopa kuumbuliwa kwa sababu wana mkono wao katika mchakato mzima.Sasa Kamati kuu iliharakisha nini kutoa maamuzi ya kuwafukuza?
Ili arudi ni aachane na ubunge yeye na wenzake akubali maamuzi ya kamati kuu, akifanya hivyo tunampa kadi za uwanachama arudi upya lakini akijaribu kuweka sharti sijui 2010, 2015 hatukutambua matokeo ya uchaguzi lakini tulienda bungeni hatutaelewana, na lazima afahamu 2020 matokeo ya kura yalipikwa kwa kiwango kikubwa zaidi hivyo hatuna mpango wa kushirikiana na bunge kwa kupeleka viti maalum.Mabibi na mabwana kama nchi tumepwelewa sana katika hili la maridhiano. Kwa hakika matatizo yetu kama nchi yako hapo na ndiyo maana tuko hapa tulipo na sasa kama mazuzu tu...
Kumbe nawewe ni member wa kamati kuu ya chadema?😂huyo muasi na wenzake tumeshawatimua kwenye Chama.
amekua wabariiidi ameshindwa kujibu maswali kwasababu ni wazi ni muasi.
2010 chama kilipata na wabunge wa majimbo,kilikalamika kuhusu rafu,2015pia kilipata na wabunge wa majimbo ndio maana walikwenda mjengoni...
Hwawa COVID 19 dawa yao ni kupukutishwa kabsaaaa mazima wavuliwe magwanda mpaka bikini zao wakafie mbeleMabibi na mabwana kama nchi tumepwelewa sana katika hili la maridhiano. Kwa hakika matatizo yetu kama nchi yako hapo na ndiyo maana tuko hapa tulipo na sasa kama mazuzu tu...
Ulimsikiliza Mdee alichosema lakini?2010 na 2015 CHADEMA iligoma kutambua matokeo ya Urais pekee. 2020 imegoma kutambua matokeo yote ya uchaguzi mkuu. Elewa tofauti hapo.
Hwawa COVID 19 dawa yao ni kupukutishwa kabsaaaa mazima wavuliwe magwanda mpaka bikini zao wakafie mbele
Joto lilikuwa kubwa mno. Hamna mtu ambae angewaelewa kama wangeahirisha kikao. Wahasimu wao wangepata nafasi ya kusema wameogopa kuumbuliwa kwa sababu wana mkono wao katika mchakato mzima...
huyo muasi na wenzake tumeshawatimua kwenye Chama.
amekua wabariiidi ameshindwa kujibu maswali kwasababu ni wazi ni muasi.
Kwasababu huko nyuma walipewa nafasi hata kuhesabu kura kwenye kata na kubaki na documents zilizowasaidia kwenda mahakani kupinga matokeo tofauti na Sasa hata mawakala wao walishindwa kuingia vituoni.Kwanini hamjibu swali la Mdee?
Kwa nini 2010, 2015 wabunge wa viti maalum waende bungeni na 2020 wasiende?
Mdee nae naona hajawajibu Chadema, majina yao yalipelekwa na nani NEC, kikao gani kilitoa baraka za wao(tena kwa kujipendelea, kwa sababu wote ni viongozi wa BAWACHA) za majina yao kupewa uteuzi? Nadhani Mdee ajibu maswali hayo kwanza kabla ya janja janjaKwanini hamjibu swali la Mdee?
Kwa nini 2010, 2015 wabunge wa viti maalum waende bungeni na 2020 wasiende?
Hakuna Cha maridhiano hapa,mtu unasemaje kwamba eti uchaguzi tangu 2010 uchaguzi usio ridhisha na wabunge walikua wanaenda eboMabibi na mabwana kama nchi tumepwelewa sana katika hili la maridhiano. Kwa hakika matatizo yetu kama nchi yako hapo na ndiyo maana tuko hapa tulipo na sasa kama mazuzu tu.
Mbowe ameonyesha kwa vitendo kuwa kinachohitajika katika migogoro ukiwamo huu ni maridhiano. Jibu la Bi. Halima kwenye hili kuwa wapo tayari "kuyajenga" mbona ni la kupongezwa mno?
Ikumbukwe pana wenye kupenda kuukaanga mbuyu vilivyo ili kuwaachia wenye meno kutafuna.
Hebu wasipewe nafasi hao.
Wakaanga mbuyu na wakajifunze kwa vitendo.
Kwa maneno ya bi Tshala Mwana, "bibi na bwana wakigombana nyumbani waache wataelewana wenyewe. Ukiyaingilia utabaki na aibu"
Muda wa kuwafahamisha wasiohusika bila ya kujali vyeo vyao au vyama vyao - kuufyata!
Ipewe sasa nafasi ya hoja kutamalaki katika mazingira yenye kufaa. Kusamehe 7x70 ni sehemu ya maisha ya binadamu wenye utu. Wanasema waungwana, "we can live and let live!"
Nini taabu kama maridhiano yakatufikisha kwenye:
1. Kuwajua waasisi wa ghushi?
2. Kuwashugulikia waasisi wa ghushi?
3. Kuwaumbua waasisi wa ghushi?
4. Kuwapa funzo la kudumu waasisi wa ghushi?
5. Kuufunga mjadala wa ghushi hii katika namna inayokubalika?
Kamanda Mbowe na makamanda wote kwa kauli ya bi dada leo, kukaa nao rasmi au hata kivinginevyo lengo kuyajenga itakuwa ni sahihi sana. Ikumbukwe kuwa kuhitajika kuyajenga kwanza kabla ya mengine limo kwenye sehemu ya hukumu.
Walionyeshwa mlango wa kutokea ila haukupigwa kufuli. Bi Halima hakukunja ngumi. Kwa hekima amenyoosha mkono. Ni busara kuupokea.
Kwa maneno ya Jabali la Muziki: "Tukamsake mbaya wetu anaye tuchonganisha." Siku tukimpata zikawe zetu ama zake!
Mungu ibariki CHADEMA.
Miaka hiyo, hata walioteuliwa, Waliteuliwa na Kikao halali cha chama chao, siyo usanii walioufanya. Hata kama CDM wanamapungufu yao, lakini kama wamesimamia taratibu, hao wadada walistahili KUFUKUZWA. Naamini hata ingekua CCM wangefukuzwa.Hiyo miaka ya 2010 walienda kwa sababu mbowe alishinda uchaguzi
Na 2020 hawaendi kwa sababu Mbowe ameshindwa uchaguzi
Kwasababu 2010,2015 mwenye chama alikuwa na nafasi ya kuingia bungeni.Kwanini hamjibu swali la Mdee?
Kwa nini 2010, 2015 wabunge wa viti maalum waende bungeni na 2020 wasiende?
Ambayo yeye alikuwa ni mjumbe wakeHalima ni mjumbe wa kamati kuu ya chadema ulitaka asubiri kamati kuu ipi.
Hakuna Cha maridhiano hapa,mtu unasemaje kwamba eti uchaguzi tangu 2010 uchaguzi usio ridhisha na wabunge walikua wanaenda ebo
So what
Aliesema jana na leo ni siku zinazofanana nani?
Ok hata Kama walienda wabunge si ni bahada ya makubaliano ya chama kwani yalikua mahamuzi ya kakundi la watu ? Inakuaje uwe ndani ya tahasisi alafu utake uende Kama unavyotaka, nini maana ya mamlaka ya tahasis,katiba n.k kwamba kila mtu aweze hamua kile akitakacho
Mpaka mda huu, hata kwenye press mmetia huruma, mpaka mnakwepa jibu ya maswali mfano
Swali zuri kauliza mhandishi Kati ya maswali mengine, kwamba Kama chama chenu hakitambui serikali iliyo madarakani je nyie kuendelea kuwa wabunge mnahitambua, ? Umelikimbia mazima
Niseme mmezidi jishushia hadhi ,Sana, hata elim zenu hamjazitendea haki,hivyo hata kukataa rufaa halmashauri kuu, hakutobadilisha lolote,na huko mahamuzi yatakua hata zaidi ya kamati kuu,
Endeleeni na Mambo yenu ya chadema yaache, KWA press ya leo mngeongea maneno TUSAMEHENI CHADEMA NA WANACHADEMA kidogo mgerudisha heshima iliyokua imebaki
Wananchi Wana hasira Sana na nyinyi achilia mbali wanachama