Halima umeonesha mwanzo mzuri, maridhiano

Halima umeonesha mwanzo mzuri, maridhiano

Hilo alilijibu technically sana ili kuepuka kuchafua hali ya hewa. Personally, I am speculating kuwa, mwamba anaweza kuwa anahusika katika hili. Halma hawezi just kuchukua decision ya hivo bila kuwa na backup ndani ya senior leaders. Hata kama mwamba alikana kushiriki kwake, ila kuna hiyo possibilities.
Sikiliza ndugu chama kinaendeshwa kwa Katiba na kanuni ikiwa Mwamba alimwambia Mdee akaapishwe...bila taratibu za chama kufuatwa na Mdee alijua kwamba utaratibu hauko hivyo na akafanya kama alivyoambiwa mjinga nani hapo!

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Kwanini hamjibu swali la Mdee?

Kwa nini 2010, 2015 wabunge wa viti maalum waende bungeni na 2020 wasiende?
Hoja mavi kabisa.muulize mwanao wa chekechea atakupa jibu mujarabu kabisa.Yaani kumbe hata hujui kinachojadiliwa hapa.duuuuh!
 
Kwanini hamjibu swali la Mdee?

Kwa nini 2010, 2015 wabunge wa viti maalum waende bungeni na 2020 wasiende?
jibu ni rahisi 2010 na 2015 walioenda bungeni hawakufoji sahihi za katibu mkuu na kupora mamlaka ya kamati kuu kwa kujiteua.
Halima na genge lake walipaswa kuvuta subira kamati kuu ifanye uamuzi maana Ndugai alisema anawasubiri hadi bunge la April wapeleke watu.
Huenda hata kama kamati kuu ingeamua kupeleka watu basi siyo lazima wawe ni akina Bulaya, Mdee, Matiko na wengine
 
Ila wengine wote hawajawahi kupewa option ya maridhiano baada ya kufukuzwa kwenye mazingira kama haya ila hawa tu! (Refer issue ya Silinde&Co juzi tu)

Kama itatokea basi ni nguvu ya mapenzi zaidi kwamba kuna mademu za akina Mwalimu kule.

Toka lini CDM imeanza ku-negotiate na waitwao wasaliti?

Nadhani adhabu au hukumu iko wazi - waombe msamaha au wakate rufaa.

Kiswahili bora kabisa (cha mume na mke) amekitumia Halima - kuyajenga.

Nini kipya hapo? Kama wewe si mboga mboga, upande wetu wa kuyajenga tuna kina Mbowe, Lissu na wote wanaohesabika.

Tunachotaka tunakijua nini shida? Au mpaka
missile-of-the-nation
aje na utenzi mwingine?
 
Makamanda uchwara ni dhahiri sasa wamechanganyikiwa. Yaani hawajui washike lipi waache lipi.

Uzi uko wazi kwenye kuyajenga wote wasiohusika (akiwamo supika) huufyata. Wewe kinyangarika nawe umetokea wapi?
 
jibu ni rahisi 2010 na 2015 walioenda bungeni hawakufoji sahihi za katibu mkuu na kupora mamlaka ya kamati kuu kwa kujiteua.
Halima na genge lake walipaswa kuvuta subira kamati kuu ifanye uamuzi maana Ndugai alisema anawasubiri hadi bunge la April wapeleke watu.
Huenda hata kama kamati kuu ingeamua kupeleka watu basi siyo lazima wawe ni akina Bulaya, Mdee, Matiko na wengine
Halima ni mjumbe wa kamati kuu ya chadema ulitaka asubiri kamati kuu ipi.
 
Jamani katika yote tukumbuke hajasema aliyemteua na kumtuma akaape.

Hilo kaulizwa kasema hatajibu leo hadharani kwa kuwa ni msingi wa adhabu, hukumu na pia wa rufaa yao.

Kwa maana nyingine ni sehemu ya kuyajenga.

Kwa hekima kasema ni nia yake na yao kutafuta suluhu zaidi badala ya kuukuza mvutano. La maana katambua yeye ni CHADEMA zaidi kuliko mboga mboga.

Kauli yake hii haijawapendeza wote kule mboga mboga. Waoneni hata kwenye comments zao na hata kwenye huu uzi!

Wagombanao ndiyo wapatanao.

Bottom line zinafahamika makamanda tutulie. Hii ngoma inogile.
 
Amecheza karata vizuri, ila angeleta ujeuri wa kutishia kuhama chama basi ndio ulikua mwisho wake kisiasa.

Ange danganyika kwenda CCM kisa Dk. Bashiru amemkaribisha au kinga walioahidiwa na Speaker pamoja na A.G, angekutana na fitna nyingi sana za wana CCM kindaki ndaki...
Nawaza yule bwana alowaapisha na anayelazimisha kuwa wabunge incase wakatengua mambo hayo atasemaje tena?
 
Amecheza karata vizuri, ila angeleta ujeuri wa kutishia kuhama chama basi ndio ulikua mwisho wake kisiasa.

Ange danganyika kwenda CCM kisa Dk. Bashiru amemkaribisha au kinga walioahidiwa na Speaker pamoja na A.G, angekutana na fitna nyingi sana za wana CCM kindaki ndaki...
Itakuwa kapata washauri wazuri ndiyo maana kasanda mapema baada ya upepo kumkataa
 
Nawaza yule bwana alowaapisha na anayelazimisha kuwa wabunge incase wakatengua mambo hayo atasemaje tena?

Ngoja wayajenge with our fingers crossed.

Kwani Mungu aliwahi kuwa Asumani?
 
Kwanini hamjibu swali la Mdee?

Kwa nini 2010, 2015 wabunge wa viti maalum waende bungeni na 2020 wasiende?
2010 na 2015 CHADEMA iligoma kutambua matokeo ya Urais pekee. 2020 imegoma kutambua matokeo yote ya uchaguzi mkuu. Elewa tofauti hapo.
 
Itakuwa kapata washauri wazuri ndiyo maana kasanda mapema baada ya upepo kumkataa

Yote kheri. Mshauri mwema hawezi kuwa sawa na hawa wakaanga mbuyu.

Kumbuka wengine walishaanza kujitutumua na kujimwambafy.

Sasa wangoje maana hii ngoma yaweza kuwa bado inogile!

Makubwa mazima lakini ndiyo hivyo tena.
 
Back
Top Bottom