- Thread starter
- #21
Hahahaha, hii inaitwa bytime ili kesi ikifika mahakamani waendelee kuwq wabunge wa mahakama for 5 good years. So chadema komaeni hawa wanauma na kupuliza.
Mkuu badala ya kufikiria mabaya tu, tuweke na benefit of doubt.
Hawaja kuwa na kibri. Walikuwa wenzetu. Wako tayari kuyajenga. Nini taabu ya kukaa nao na kujaribu iwapo kwa kufanya hivyo tutaweza:
1. Kuwajua waasisi wa ghushi?
2. Kuwashugulikia waasisi wa ghushi?
3. Kuwaumbua waasisi wa ghushi?
4. Kuwapa funzo la kudumu waasisi wa ghushi?
5. Kuufunga mjadala wa ghushi hii katika namna inayokubalika?
Makamanda ni muhimu tukajua tunataka nini. Kumbuka sasa hivi mboga mboga kinawauma!