Halima Mdee na wenzake waanza kufungasha virago vyao bungeni

Hii ni kwa sababu kile kikao cha Baraza Kuu kilichosubiriwa kwa Muda mrefu sasa kimewadia , ikumbukwe kwamba Kikao cha Baraza kuu la Chadema ambacho ndicho kikubwa kuliko vyote , kitafanyika tarehe 11 /05/2022 katika eneo lisilojulikana .

Hiki kikao kinatazamiwa kugongelea msumali wa mwisho kwenye yale maamuzi ya Kamati Kuu , ambayo yaliwavua uongozi na baadaye kuwatimua kwenye chama hicho .

View attachment 2196304
Naona watarejesha fedha yote ya umma waliyolipwa kama posho, la sivyo mlipaji na wapokeaji washitakiwe kwa ufujaji na uhujumu uchumi.
 
Kwa kuwa Chadema,wameitambua Serikali ya Awamu ya sita,Ni dhahiri Chadema itapeleka majina ya wanachama wanaopendekezwa nafasi za ubunge wa viti maalum.Chadema wakifanya hivyo,watakuwa wametimiza takwa la kuwa na wenyeviti kutoka Vyama vya upinzani kwenye kamati za Bunge za mashirika ya imma na Serikali za mitaa kutoka upinzani ili kukizi vigezo vya utawala bora.
Tatizo lilikuwa, katika uchaguzi wa 2020 CCM ilichukua majimbo yote,isipokuwa Nkasi na Mtwara vijijini.
Chadema wakasusia matokeo na wakagoma kupeleka majina ya wabunge wa viti maalum.
Walipopitia kanuni za Bunge wakagundua kuna mushkeli.
Plan B ,ikawa kuteua Covid-19 kukidhi matakwa ya kanuni za Bunge.

Fundisho
1).Ukisusa wenzio wanakula,mchezo wa siasa hauhitaji Hasira
2).uchakachuaji ufanywe kwa weledi kuondosha aibu ambayo Chama Tawala ilipata 2020.
3). Ushindi Ni ushindi tu,ili mradi utimize vigezo,hata ukipata 60% inatosha badala ya kuchukua ushindi wa 100% ya kura zote, wakati unajua hilo haliwezekani.
Chama Tawala ni vema wakatambua kuwachata kwenye familia yako, huwezi kupendwa na watoto wako wote,toka enzi za Adam na Hawa.itawezekana vipi wapiga kura wote wachague CCM, Tanzania mzima.
 
Kwa kuwa Chadema,wameitambua Serikali ya Awamu ya sita,Ni dhahiri Chadema itapeleka majina ya wanachama wanaopendekezwa nafasi za ubunge wa viti maalum.Chadema wakifanya hivyo,watakuwa wametimiza takwa la kuwa na wenyeviti kutoka Vyama vya upinzani kwenye kamati za Bunge za mashirika ya imma na Serikali za mitaa kutoka upinzani ili kukizi vigezo vya utawala bora.
Tatizo lilikuwa, katika uchaguzi wa 2020 CCM ilichukua majimbo yote,isipokuwa Nkasi na Mtwara vijijini.
Chadema wakasusia matokeo na wakagoma kupeleka majina ya wabunge wa viti maalum.
Walipopitia kanuni za Bunge wakagundua kuna mushkeli.
Plan B ,ikawa kuteua Covid-19 kukidhi matakwa ya kanuni za Bunge.

Fundisho
1).Ukisusa wenzio wanakula,mchezo wa siasa hauhitaji Hasira
2).uchakachuaji ufanywe kwa weledi kuondosha aibu ambayo Chama Tawala ilipata 2020.
3). Ushindi Ni ushindi tu,ili mradi utimize vigezo,hata ukipata 60% inatosha badala ya kuchukua ushindi update 100% ya kura zote, wakati unajua hilo haliwezekani.Hata kwenye familia yako, huwezi kupendwa na watoto wotee,toka enzie za Adam na Hawa.
umeandika nini ?
 
Nani? Suala la kughushi limefikia wapi? Serikali ilipaswa kujisafisha juu ya sakata kwa kuondoa mashaka yote kwenye zoezi zima!
Why serikali?!. Serikali (NEC) imeletewa majina ya Wabunge wa viti maalum kutoka Chadema, ikawatangaza na kukikabidhi Bunge. Chadema kwa nje wanadai ni forgery. Kama kuna forgery yoyote, then hiyo ni jinai, hatua ya kwanza kwa jinai yoyote ni kuiripoti polisi ili uchunguzi wa kijinai ufanyike, ambapo hatua ya kwanza ni authentication ya barua ya uteuzi kutoka Chadema kwenda NEC. Ingethibishwa kuna jinai ya forgery, NEC wangebatilisha uteuzi, na wale wabunge 19 wangevuliwa ubunge.

Badala ya Chadema to do the right thing, kwa kuripoti polisi, wao wanaitisha ile a kangaroo court yao na kuanza kufukuzana!. Tena kwa mujibu wa katiba ya Chadema, NEC ya Chadema, sio mamlaka ya nidhamu ya Mwenyekiti wa Bawacha!, NEC ilipata wapi uwezo wa kumtimua Mdee?!.

Kama ni kweli Chadema ni chama cha upinzani makini kinachosubiri kukabidhiwa nchi, kikao cha Baraza Kuu, kitatengua madudu yote ya Ile kangaroo court, kuwatimua uanachama, na kukieleza chama kufanya a due process kuthibitisha jinai ya forgery, wabunge hao wavuliwe ubunge, Chadema ipeleke majina mapya wakiwemo baadhi ya wabunge hao kama Halima Mdee na Ester Bulaya.

P
 
Hii ni kwa sababu kile kikao cha Baraza Kuu kilichosubiriwa kwa Muda mrefu sasa kimewadia , ikumbukwe kwamba Kikao cha Baraza kuu la Chadema ambacho ndicho kikubwa kuliko vyote , kitafanyika tarehe 11 /05/2022 katika eneo lisilojulikana .

Hiki kikao kinatazamiwa kugongelea msumali wa mwisho kwenye yale maamuzi ya Kamati Kuu , ambayo yaliwavua uongozi na baadaye kuwatimua kwenye chama hicho .

View attachment 2196304
Hivi wewe kwanini huwa unapenda sana wengine kufikwa na mabaya!?
Inaonekana una jambo linakuumiza sana moyoni mwako. Limepelekea kuwa na wivu wakijinga,chuki na husda kwa wengine.

Njia hiyo sio tiba. Haikusaidii kuutoa huo uchungu na maumivu uliyonayo.
Furaha unayoipata kwa wenzako kufikwa na mabaya ni ya muda mfupi,ndiyo sababu post zako nyingi ni za kulaumu,kukosoa na kutabiria wengine mabaya. Lau hiyo ingekuwa ni tiba,basi ungekuwa umejiovadozi.

Tafuta mwanasaikolojia anaweza kuwa na faida sana kwako kuliko chuki hii uliyonayo.

Kwa taarifa yako,hawatoki bungeni hata huyo gaidi wako akiwafukuza. Wataingia kwa njia ya mahakama. Halafu muda wao ukimalizika watakwenda kwenye chama chenye demokrasia yakweli na sio hiyo saccos ya wachaga

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
 
Naona watarejesha fedha yote ya umma waliyolipwa kama posho, la sivyo mlipaji na wapokeaji washitakiwe kwa ufujaji na uhujumu uchumi.
Haya maneno yalitakiwa muyaongee pia kwa jamaa wa vyeti feki, ambao wameiba fedha ya Nchi kwa miaka mingi.

Waachwe akina Mdee waendelee Kama tunavyowatetea vyeti feki,
Na hao Wana familia zao pia
 
Hii ni kwa sababu kile kikao cha Baraza Kuu kilichosubiriwa kwa Muda mrefu sasa kimewadia , ikumbukwe kwamba Kikao cha Baraza kuu la Chadema ambacho ndicho kikubwa kuliko vyote , kitafanyika tarehe 11 /05/2022 katika eneo lisilojulikana .

Hiki kikao kinatazamiwa kugongelea msumali wa mwisho kwenye yale maamuzi ya Kamati Kuu , ambayo yaliwavua uongozi na baadaye kuwatimua kwenye chama hicho .

View attachment 2196304
Hizo siku ishirini bado tu?
 
Hii ni kwa sababu kile kikao cha Baraza Kuu kilichosubiriwa kwa Muda mrefu sasa kimewadia , ikumbukwe kwamba Kikao cha Baraza kuu la Chadema ambacho ndicho kikubwa kuliko vyote , kitafanyika tarehe 11 /05/2022 katika eneo lisilojulikana .

Hiki kikao kinatazamiwa kugongelea msumali wa mwisho kwenye yale maamuzi ya Kamati Kuu , ambayo yaliwavua uongozi na baadaye kuwatimua kwenye chama hicho .

View attachment 2196304
Mbowe ataweza child support? Au ndio mwaga mboga COVID wamwage ugali
 
Back
Top Bottom