Nsoji go Nvaa
JF-Expert Member
- Oct 15, 2019
- 760
- 1,444
Hahaha mkuu P,Leo umekasirika,,,Kiukweli humu jf tuna mijitu ni viazi halafu mna lugha za chooni!.
Aliteua na kupeleka majina NEC ni kiongozi mkubwa Chadema, Ila amekula kobiz, ingekuwa ni forgery, forgery ni kosa la jinai, hujiulizi kwanini mpaka kesho, Chadema hawajaripoti jinai hii polisi?!.
Baada ya jina la mahabusu kuwemo, ndipo milango ya gereza ikafunguka akatoka. Liweke vizuri post hii kwenye kumbukumbu zako, wakisamehewa ndio utanikumbuka.
P