Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,671
- 218,175
Noma sana !CDM hawakupeleka hayo majina hata Halima Mdee mwenyewe anakiri hilo. Kasema waliteuliwa na NEC na kudhaminiwa na CDM, yaani kaeleza njisi alivyoaanza kuvaa sketi/suruali kabla hajavaa taiti