Hilo jimbo mlikuwa nalo kabla hakuna chochote mlichofanya, leo mnalitaka tena, nyie ni sawa na tajiri mpumbavu asiejua kutumia alichonacho kwa manufaa yake na wengine, anajirundikia tu ndani halafu anachekelea tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
JiheshimuWewe ndio mzushi.. mbona ccm wamechangia kwamba ana sema ukweli.. tumia akili vizuri
20 Sep 2017
Mradi mkubwa wa ujenzi wa mji mpya wa Kigamboni Dar es Salaam uitwao Dege Eco Village ulioanzishwa na Shirika la Taifa la Hifadhi ya jamii 'NSSF' na kusimama ujenzi wake mwaka 2016 unapigwa mnada. Kuliripotiwa kuwepo kwa ufisadi wa zaidi ya TSH bilioni 179 katika mradi huo na sasa anatafutwa Mwekezaji atakaeuchukua.
Kesho tuombe uzima kiongozi ,watanzania tunaisubiri kwa hamu kubwa
Mbowe kuendelea kuwa mwenyekiti wa CHADEMA ndiyo anayezuia serikali ya awamu ya tano isiwalipe wastaafu stahiki zao?Kosa kubwa walilofanya Chadema na Mbowe ni kuendelea kumweka Mbowe kwenye uenyekiti wa chama .
Binadamu tunapanda na kushuka.
Mbowe muda wake wa kungara uliisha 2014.
Kuongeza muda ndiko kulikoibua mgawanyiko ndani ya chama na kukifanya chama kurudi kuwa Chama cha kwenye briefcase.
Mutanielewa baada ya octoba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uzuri ni mbowe pia aliyefanya wastaafu wacheleweshewe mafao yao.Kosa kubwa walilofanya Chadema na Mbowe ni kuendelea kumweka Mbowe kwenye uenyekiti wa chama .
Binadamu tunapanda na kushuka.
Mbowe muda wake wa kungara uliisha 2014.
Kuongeza muda ndiko kulikoibua mgawanyiko ndani ya chama na kukifanya chama kurudi kuwa Chama cha kwenye briefcase.
Mutanielewa baada ya octoba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Chadema ni wezi 8 Bilioni ziko wapi? Tractor ziko wapUNGEKUWA NA NDUGU ALIYESTAAFU AU WEWE MWENYEWE SIDHANI KAMA UNGESEMA HAYO. KUNA WASTAAFU TANGU NOV.2019 HADI LEO HAWAJAPATA STAHIKI ZAO. Wewe ni mmoja wa wanaowahujumu?
Hujajibu:Mifuko ya jamii iko hoi.Wastaafu wanahangaika.CDM iwalipe au?
Mirathi pia hawalipi, wanakula pesa za marehemuMay 22, 2020
Bungeni Dodoma
Tanzania
DAKIKA 17 ZA HALIMA MDEE BUNGENI LEO
Mh. Halima James Mdee mbunge wa CHADEMA aichambua taarifa ya CAG aliyepita na CAG mpya ambao wote wameonesha jinsi taasisi kubwa kama Mifuko ya Jamii na National Housing kushindwa kujiendesha.
Mifuko ya Jamii ipo hoi na kuna hatari walengwa wa Mafao kupata tabu kulipwa stahili zao kwa wakati.
Pia shirika la Nyumba National Housing imefika kikomo cha kukopesheka yaani Bilioni 300 tayari shirika limekopa na kisheria haliruhusiwi kukopa na hivyo kushindwa kumaliza miradi yake kama ule wa Kawe jijini Dar es Salaam.
Mradi wa Kawe National Housing waTanzania wengi waliwekesha pesa zao mbele wakitengemea mradi huo wa Kawe ungekamilika na wakaweza kuhamia ktk apartments zinazoangalia fukwe ya bahari ya Hindi. Lakini mradi umesimama na waTanzania pesa hawajarudishiwa.
Source: millard ayo
More Info kuhusu mradi uliokwama:
Muonekano wa mradi wa Kawe ambao umekwama kutokana na National Housing kukaukiwa na pesa pia haliwezi kukopeshwa
Source : NHC Tanzania
Tena afadhali ya hukoDah.....Kamanda wa kike huyu.....sina hakika iwapo atarudi...
Sisi huku mama lishe na machinga tegeta kwa ndevu mbona umetusahau..? Kila siku hoja ni mifuko mifuko...hlf baada hapo unageukia ATCL..hlf tena tunasikia uko kwenye kesi kisutu..ujue barabara zetu zingine hazipitiki...!!
Ticha tulia tu ukifika muda wako wa kustaafu utaelewa tu raha ya kufuatilia mafao yako,for the mean time jifanye tu kama haikuhusu vile.
Mkuu una hoja ya uhakika. Mbowe angetoka mwaka huo akaruhusu damu mpya asingekuwa anapata shida hizi. Mwaka jana aliogopa kutoka kwa sababu aliona akitoka watasema anakimbia baada ya kuona chombo kinaenda mrama; akajiapiza kwamba wacha kimfie tu. Kweli naona CHADEMA kinakata roho mikononi mwake.Kosa kubwa walilofanya Chadema na Mbowe ni kuendelea kumweka Mbowe kwenye uenyekiti wa chama .
Binadamu tunapanda na kushuka.
Mbowe muda wake wa kungara uliisha 2014.
Kuongeza muda ndiko kulikoibua mgawanyiko ndani ya chama na kukifanya chama kurudi kuwa Chama cha kwenye briefcase.
Mutanielewa baada ya octoba.
Sent using Jamii Forums mobile app