masopakyindi Platinum Member Joined Jul 5, 2011 Posts 18,621 Reaction score 14,577 Aug 3, 2014 #41 Rohombaya said: Khaa mie Halima Mdee namkubali sana huwa napenda kumsikiliza akiwa anaongea, akimaliza kwa kweli huwa najisikia faraja kubwa Click to expand... Kama unampenda Halima mpe smile basi!!!
Rohombaya said: Khaa mie Halima Mdee namkubali sana huwa napenda kumsikiliza akiwa anaongea, akimaliza kwa kweli huwa najisikia faraja kubwa Click to expand... Kama unampenda Halima mpe smile basi!!!
4 4x4 Senior Member Joined Aug 3, 2014 Posts 112 Reaction score 31 Aug 3, 2014 #42 Erythrocyte said: uongo utakusaidia nini ? Click to expand... Sio uwongo,hata mie ni mkazi wa jimbo lake,hakuna kitu alichofanya maji tabu hakuna barabara na wala haliongelei suala hilo
Erythrocyte said: uongo utakusaidia nini ? Click to expand... Sio uwongo,hata mie ni mkazi wa jimbo lake,hakuna kitu alichofanya maji tabu hakuna barabara na wala haliongelei suala hilo
Augustine Moshi JF-Expert Member Joined Apr 22, 2006 Posts 2,556 Reaction score 1,394 Aug 3, 2014 #43 Ni mbunge kijana ambaye ameonyesha kipaji cha hali ya juu cha uongozi. Nilianza kufundisha UDSM mwaka mmoja na baba yake. Nikiwepo lazima nimpe kura yangu. Well done Ms Mdee!
Ni mbunge kijana ambaye ameonyesha kipaji cha hali ya juu cha uongozi. Nilianza kufundisha UDSM mwaka mmoja na baba yake. Nikiwepo lazima nimpe kura yangu. Well done Ms Mdee!
Rohombaya JF-Expert Member Joined Jul 4, 2011 Posts 13,080 Reaction score 10,436 Aug 4, 2014 #44 masopakyindi said: Kama unampenda Halima mpe smile basi!!! View attachment 174896 Click to expand... Khaa!! Hili hapa
masopakyindi said: Kama unampenda Halima mpe smile basi!!! View attachment 174896 Click to expand... Khaa!! Hili hapa
Ng'wanangwa JF-Expert Member Joined Aug 28, 2010 Posts 10,827 Reaction score 4,184 Aug 5, 2014 #45 Chizi Fureshi said: Ng'wanangwa inaonekana bado upoupo kwanza Click to expand... bado nipo nipo sana. mimi na chadema dam dam
Chizi Fureshi said: Ng'wanangwa inaonekana bado upoupo kwanza Click to expand... bado nipo nipo sana. mimi na chadema dam dam